Home
Unlabelled
crdb yazawadia wanafunzi bora dodoma
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
tatizo langu nikwamba, kuwa wa kwanza sio tatizo bali ni je umejifunza lolote? umeelimika?napia serikali inapotoa takwimu za kupanda kwa elimu ningependa wasitumie vigezo vya watoto wangapi wamefaulu. kufaulu pekee hakumaanishi kupanda kwa elimu.
ReplyDeleteNimeshuhudia watu kadhaa ambao walifanya vizuri kwenye mitihani yao but mukikutana kwenye level ingine unajiuliza. nakumbuka mwaka jana kuna wanafunzi walirepotiwa kurudhishwa sekondali kwakuwa na uwezo usioendana na max, anaenda seco hata kusoma hajuwi.
nimeyaona pia elimu ya juu, tena huko ndio kichekesho hasa ukizingatia hakuna 'twishen'. utasikia mtu amefika na point tatu AAA lakini hawezi chochote. wanadisco kibao, wanaingia na migi kwenye paper, wasichana wanajikomboa kingonongono!!!! Y kama walikuwa bora hapo before then washindwe level ingine???
ni hayo tu!! sisemi pia kama wote wanakuwa mbumbumbu! no.
G7
UK