Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 8 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 26, 2008

    majina ya waandaaji?? please!
    isijekuwa ndo walewale walafi wa kolumbus, kama ndo wao hata kama niko houston bora niende bar tu

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 26, 2008

    huyu dj dennis ni kifaa mwanangu!!sijui issue ya waandaaji sasa.tusilizie ni nani

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 26, 2008

    Waandaji H-town wamekamilika! Wakiongozwa na Mlangila! Itakuwa bab kubwa..Kama kawa! Amininieni!

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 26, 2008

    Hoya Shengena na Mwandemane Keep it up! good luck.representing Azania to the fullest.
    MZEE MEJOR.

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 26, 2008

    Nakubaliana na Anonymous wa Tarehe July 26, 2008 5:20 AM huyu Dj Dennis anajua kupiga mziki hutoki dancing floor akiaanza kupiga anakuna kinoma.sitasahau alivyopandisha nyimbo katika boat party ya MN 4th of july.eniwei hii nitaikosa.

    ReplyDelete
  6. AnonymousJuly 26, 2008

    dj rich namuaminia from turntable to sound.. simameni msimamo wa kudance houston

    ReplyDelete
  7. AnonymousJuly 29, 2008

    Aaaah kama mrangila ndio mwandaaji basi mambo yatakuwa simchezo, Wadau h-town mrangila aminia kinoma. Mimi ninaingia hapo 30th na dj tajiri mwandamane, na dj shengena ataingia asubuhi 31th, lazima nijipe raha h-town nikiingia.

    ReplyDelete
  8. AnonymousJuly 29, 2008

    jamani jamani msitutende kama walivyotutendea Columbus, mi naja huko jamani please waandaaji mjitahidi, tusije kujutia vijipesa vyetu vya gas, sio vingi sana ila hela ngumu waungwana, na nyie munalijua hilo

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...