afisa habari wa kamati ya miss tz haidan ricco anasema maandalizi moto huko kambini bagamoyo na hapa ni wakati wa kushuti video za warembo wa miss tz 2008

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 17 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 31, 2008

    Mingongoz
    Londoner

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 31, 2008

    Hao wote ni watanzania??Kazi ipo

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 31, 2008

    UREMBO NI UNYWELE, EEH

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 31, 2008

    Sasa naelewa kwanini mwana FA kasema bado yupo yupo kwanza. nikwakuwa migongo yakumbeba ipo mingi kishenzi!

    ingekuwa vipi kama wanawake wote wangekuwa hawatoi kabla ya ndoa??? or unadhani itakuwa vipi kama wanawake watagoma kutoa servise mpaka waolewe?

    nadhani hii migongo ingekuwa tayari ishanyakuliwa!!

    Nimtazamo tu.

    G7
    UK

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 31, 2008

    mabinti wa kibongo nao wanajua kuoga siku hizi. hakuna kulala

    ReplyDelete
  6. AnonymousJuly 31, 2008

    mtumeeeeeeeee bongo balaaaaa ndio maana haturudi huko.

    ReplyDelete
  7. Mzee wa nanii naona ukaamua kukaa nyuma kuchukua picha haha yatakushinda ,,baada ya kutuonesha anayeojiwa we waangaika na migongo ya watu,,,,,,,,

    ReplyDelete
  8. mmh...mweee..BADO NIPO NIPO KWANZA

    ReplyDelete
  9. Du! kweli bongo kuna ngozi,kwa staili hiyo haponi mtu hapo labda vipofu wasiokuwa na macho tobaaaa!!

    ReplyDelete
  10. ahsante kaka kwa mambo mazuri,wacha tuoshe macho bwana.ila dada zetu wazuri acha utani

    ReplyDelete
  11. Hao wadada wazuri hila kaushamba kamejaa-TATIZO -KUIGIZA ! Hawana ubunifu wowote.Kila mtu anataka kuwa kama Tyra Banks kitu ambacho kwa joto la bongo inakuwa kazi kidogo.

    ReplyDelete
  12. Wanawake wanashida sana. Yaani mwili wao hauna thamani kabisa. Najisikia vibaya sana kwa hilo kwani nimepata mtoto wa kike jana, sijui atafikia hatua hii. Mungu nisaidie na umuepushe na vijitamaa tamaa vya magari ya vodacom

    ReplyDelete
  13. hivi nyie waosha vyombo na vibabu mkoje?mnadhani bongo kuna dhiki sana?mmeula..kuna vitu vingi ambavyo nyie hamuwezi ku afford muwapo huko nchi za ugenini?mnapenda kujilinganisha nchi mliyopo ya ugenini na nyumbani.kwa taarifa yenu bongo tuna wanawake wazuri sana na webye kujiheshimu tofauti na wa kwenu ambao wanazaaa na vibabu vilivyochoka vya kizungu na matapeli wa nigeria..
    huku sis tunakula maisha na endeleeni kuishi huko huko FAINALI NI UZEENI.

    ReplyDelete
  14. msasemaje kuhusu maadili yetu na huyo mrembo aliyeko uchiiiiii aibu...

    ReplyDelete
  15. wee anonymous wa12:59 usichokilelwa ninini? wenzio wamesifia wasichana watz wazuri unawasema eti waosha vyombo na vibabau tunadhani bongo kunadhiki sana sio wote tulioko huku tunafanyahizo kazi na kwa taarifa yako tunapeta wewe huko bongo huna haki system mbovu kila akitu kuhonga JINGINE wewe unanagalia maisha ya watu wachache dsm nenda vijijini, mikoani mbaka leo watu wapelekwa hospital na baiskeli, hakuna umeme maji hunyi mpaka uchemshe!!mimi.INAYOKUSUMBUA NI GERE,UNAONAGERE???

    ReplyDelete
  16. HIVI WEWE Tarehe August 01, 2008 12:59 PM SIUNAENDA "HAJA KUBWA" WEWE, MBONA UNATOA KASHFA KWA WAZEE ETI "vibabu" HALAFU UNASEMA "FAINALI UZEENI" WEWE KAMA ULIFANYA HIZO KAZI AU UMEKOSA BWANA KWASABABU YUKO HUKU, JIREKEBISHE UNATABIA MBOVU "SANA" DADA...(u need keria) and "CHILLI PILS"

    ReplyDelete
  17. Ndo maana siku zote sijamruhusu binti yangu aingie kwenye mashindano. Sasa we unafikiri midume ikishaona hiyo migongo na vinguo vya mapaya nusu what is next?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...