Michuzi,
Naomba nafasi nami nitoe dukuduku langu juu ya hii mada
Kuna vumbi la chuki, fitina, wivu, kisasi, na hisia za kibaguzi dhidi ya jamii ya Wachagga nchini.
Kuna kila dalili kuwa jamii ya Wachagga nchini siyo tu inaanza kutengwa lakini uwepo wake katika nafasi mbalimbali za uongozi inazua hoja ya ukabila kwa haraka zaidi yawezekana kuliko kabila jingine lolote nchini.
Katika Tanzania yetu, wachagga wameanza kunyoshewa kidole siyo kwa siri tena bali kwa wazi kabisa tena na watu ambao wakati mwingine hawapati hata kigugumizi.
Ubaguzi huo msingi wake mkubwa ni idadi ya wachagga katika nafasi mbalimbali za uongozi na hasa kuhusiana na elimu yao. Kuanzia mara tu baada ya uhuru jamii ya wachagga mojawapo ya jamii ambayo watu wake wengi wamesoma sana na kufanikiwa kielimu na kiuchumi imekuwa ikinyoshewa kidole cha kupendelewa.
Mtu yeyote ambaye anaweza akafanya uchambuzi yakinifu hatoshangaa kukuta wataalamu wa kichagga katika nafasi mbalimbali za uongozi au taaluma nchini. Kwenye vyuo vikuu, kwenye idara za serikali na hata kwenye taasisi binafsi kumejaa watu wenye asili ya mkoa wa Kilimanjaro na hususan watu wa jamii ya Kichagga.
Endapo itatangazwa nafasi yoyote ya kitaalamu usishangazwe ukiona kuwa waombaji wengi wana majina ya "Kichagga".
Ni kwa sababu hiyo basi kuna kila dalili kuwa kutokana na wingi wao katika nafasi muhimu na vyeo mbalimbali (hata ndani ya Jeshi la Polisi) Wachagga siyo tu ni wengi lakini wanaonekana kufanikiwa zaidi. Hili ni tishio kwa baadhi ya watu. Ni tishio kwa watu ambao hawako tayari kuangalia jitihada za watu katika kufanikiwa kwao na matokeo yake kushutumu ukabila kila idadi ya Wachagga kwenye kitengo fulani inazidi mmoja.
Ushauri wangu ni kuwa, kwa vile Wachagga wameshasoma sana na kuendelea katika biashara karibu mikoa mingi nchini. Na kwa vile wanaendelea kufanikiwa pia katika nafasi mbalimbali za uongozi nchini, basi itakuwa vizuri kama watajitolea kuachilia nafasi hizo ili kuwapa nafasi watu wa makabila mengine.
Kwa vile ni wao wanaonekana kulalamikiwa kutokana na mambo ya kifisadi aidha kwa moja kwa moja au kwa kuashiria basi ni vizuri wawape watu wengine nafasi hizo hata kama watu hao hawajasoma sana. Hii yote itakuwa ni katika kudumisha mshikamano, umoja na udugu wa Taifa letu.
Endapo Wachagga wataachilia nafasi mbalimbali kama UCEO, Ukurugenzi, Ukuu wa Idara n.k watasababisha watu wawapende na kuwakubali kuwa ni wazalendo wa kweli. Sitoshangaa kuwa ndugu zetu wa Jamii ya Kichagga wakikaa pembeni, basi ufisadi utakoma serikalini, idara zitaongozwa na watu wazuri, na mara moja na daima Tanzania itaanza kukua katika uongozi.
Kwa kupendekeza nashauri wabunge wote ambao ni Wachagga au wana asili ya mkoa wa Kilimanjaro kuachia ngazi mara moja ili watu wa makabila mengine wapewe nafasi hizo. Siyo wao tu bali pia wabunge ambao wameoa au kuolewa uchagani vile vile wafuate nyazo hizo.
Wakishamaliza hao, wakuu wote wa idara za serikali ambao wana asili ya mkoa wa Kilimanjaro na hasa wa jamii ya kichagga (wamarangu, wamachame, wa Rombo, na wa Kibosho) na wao waamue kuachilia nafasi hizo kwa ndugu zao Wamakua, Wamwera, Wa Ndali, Wadigo n.k Katika hili Wapare hawahusishwi.
Tukishamaliza wakuu hao wa idara za serikali ningependekeza madaktari wote wenye kumiliki hospitali binafsi ambao ni wachagga au wameoa/kuolewa uchagani na wenyewe waamue kuingia ubia na watu wa makabila mengine kama wangengereko, wambuu, na wanjiro ili hayo makabila madogo na wenyewe wapate nafasi ya kujifunza fani hizi muhimu.
Zaidi ya yote, majaji na mahakimu wote ambao wana asili ya Uchaggani na wenyewe waamue kujitoa katika nafasi hizo kwani wingi wao pia unaonekana sana na hivyo kuwa kikwako kwa watu wa makabila mengine kufanikiwa zaidi katika nyanja ya sheria. Kwanza kabisa wale majaji wa Kichagga wa mahakama ya Rufaa na Mahakama Kuu wawe wa kwanza kuweka manyanga chini.
Katika kufanya hivyo jamii ya Watanzania ambao inaona ukabila wa wachagga katika sehemu nyingi itaridhika kwani kwa mara ya kwanza tutakuwa tumeshughulikia chanzo cha matatizo yetu mengi.
Mdau P. Shirima
wewe nawe una lako jambo.Mimi si mchagga ila sioni sababu wao kuachia ngazi,kila mtu apige kifua na kujitahidi iwe kimasomo ama kiuchumi ili kuweza kifikia kiwangi fulani.It doesn't make sense eti kwakuwa umeendelea achia ngazi muache aliye nyuma ashike usukani.Hatuendi hivyo kimaendeleo walio nyuma that has to be a challenge 4 them to catch up.Wakiachiwa wakaliangusha gurudumu itakuwaje,but there is a chance wakaachiwa wakafanya vizuri zaidi so they should struggle and catch up to prove they can.Na wengi tu wameshaprove.
ReplyDeleteNi vyema tutafakari mada za kujenga wote zaidi ya hizi za makabila...
ReplyDeletejust...information wale wenye mashamba ya ubuyu soon yatakuwa deal!!
http://news.bbc.co.uk/2/hi/uk_news/7506997.stm
Mkuu Michuzi,
ReplyDeleteHii mada kwanza ilijadiliwa na inaendelea kujadiliwa kule Jamii forums, na aliyeanza huu 'uchokonozi' ni Mwanakijiji.
kwamba imeletwa hapa, kwangu naona ni sehemu ya kampeni hii chafu ya ubaguzi wa kikabila, ambao kama tukiuachia madhara yake wala hatuhitaji kwenda mbali kuyajua, Rwanda, Burundi, kenya walianza hivi hivi!
hoja anayotoa mwanakijiji nadhani haitaeleweka kwa wengi na tusishangae watu wakaandamana kudai wachagga waondolewe kwenye idara au nafasi mbali mbali za uongozi walizo nazo ijapokuwa inawezekana yeye hakumaanisha hivyo.
Swala langu ni kwamba je, tukianza kujadili ukabila wa kila mmoja wetu, je tutaishia wapi?
Mdau, Ujerumani.
Sidhani kama ni kweli kuwa watu wanapolalamika kuhusu wachaga kushika nyadhifa mbali serikalini wanamaanisha kuwa tunawaonea wivu kwa sababu wamesoma hapana. Wachaga wana tabia ya kupendeleana wao kwa wao katika nyadhifa nyingi sana na sio kwamba wachaga wamesoma sana kama unavyosema wewe sidhani kama ni kweli. Ukienda pale Vodacom leo utashangaa wamejaa wao tu sasa ina maana nyie ndio mko wengi sana hapa tanzania kuliko makabila mengine ama? hatukatai mtu kusoma sana ama kuwa na mafanikio hiyo ni kawaida ila tunakataa nyie kujipendelea sana na kuwekana kwenye kila nyadhifa na kazi mjini. Wachaga mjiweke sawa maana tumeshawashtukia saizi ole wenu
ReplyDeleteMdau Shirima mimi binafsi sikubaliani na hoja yako. Mimi si mchaga ila ni mambo mengi sana nashirikiana na wachaga. Unavyotoa mada usiweke ujumla (generalize) hata kama kuna mifano michache bado haina maana (not significant). bado ukweli uko palepale kuwa watanzania ni wamoja. kitu cha kushauriana hapa ni kuondoa mianya yoyote ya upendeleo unaotokana na rangi, kabila, ukoo, chama, kujuana nk. Otherwise hoja yako sijaipenda
ReplyDeleteAika Mangi.Hadisi hadisi hadisi oshooo.Hapo samani sa kale palikuwa na wajinga wakaacha kwenda shule kasi yao kulalamika tu na kukaa kwenye vikao na barasa sa kahawa.Wensao wanakwenda shule wao kasi kuchesa dumna na bao.Leo kasi kulalamika .Poleni sana.Hadisi hadisi hadisi oshoo ukikimbia umande utabakia kulalama tu.
ReplyDeletesimple mind discus za pipo hia mindi diskas aidias
ReplyDeleteovyo.Ebwana eeeh inaelekea ulikuwa huna cha kuandika.Hii insha yako yote imejaa utumbo.Mimi binafsi sioni kama kuna ubaguzi dhidi ya Wachagga.Hizi articles zinazoandikwa juu ya wachagga hazina maana ya kuwa watu wanawachukia wachagga.Itakumbukwa aliyeanzisha mada ya Kabila la Wachagga alikuwa ni Mchagga.Kwa hiyo dont jump on conclusion na kusema watu wanawachukia Wachagga.Pleas dont try to make something out of nothing.Go back to school.Tanzania ni moja.Na kila mtanzani ni ndugu yangu.
ReplyDeleteWe Shirima nani anawanyoshea vidole wachagga, kwa utaalamu wa harakaharaka naona wewe una matatizo,HIVI KABILA GANI TANZANIA LINAWEZA KUJIBAGUA AU KUBAGULIWA, TUMECHANGANYANA KAMA SISIMIZI , MIMI MNYAKYUSA-MMORAVIAN NIMEOA MCHAGGA-MKATOLIKI, SHEMEJI ZANGU WAHAYA KWA SABABU MKE WANGU BABA YAKE NI MCHAGGA, AMELELEWA NA MHAYA.
ReplyDeleteMIMI MNYAKYUSA WADOGO ZANGU WABONDEI KWA SABABU MAMA ALIOLEWA NA MBONDEI KWA SABABU MZEE ALIFARIKI.ALIYEMWOA ANA WATOTOT WANAJUA KIHEHE KWA SABABU MAMA YAO ALIKUWA MHEHE.
POLE SANA KWA KUUMIZWA NA WANAOKUNYOSHEA VIDOLE ILA JAMII YA TANZANIA HAIJAFIKIA HAPO WEWE NDIO UNA MATATIZO UMEPOTEZA MUDA KUANDIKA NAKALA AMABYO NI DESTRUCTIVE,SASA MCHAGGA AKISOMA HAPA AONE KUWA WANACHUKIWA WAACHANE NA WAKE ZAO WA MAKABILA MENGINE.
HIVI MAFANIKIO GANI WALIYONAYO WACHAGGA AMBAYO WENGINE HAWANA???
KUNA UTANI NA KUNA UKWELI, MIMI NINAPOONA MADA ZA KIKABILA NADHANI NI UTANI SIYO SIRIOUS KIASI HICHO.LA KAMA SIRIOUS NI JINSI UNAVYOONA, AU KUNA KITU MNAFANYA WACHAGA AMABCHO NI SIRI KWA HIYO MMEGUNDULIKA MNAANZA KULALAMA, MBONA SISI WANAYKYUSA WANASEMWA SANA, WAHAYA, MBONA WAKO KIMYA???
HII NAKALA YA KUPANDIKIZA CHUKI HUPAWSI KUUNGWA MKONO LABDA NA WATU WA ''AINA YAKO''
MDAU
CANADA
naona shirima unachangayikiwa sasa,hivi kuandika haya yote yasiyo nambele wala nyuma.
ReplyDeleteWhat is this, huyu jamaa anazungumza nini? mimi njua kuna utani wa kutaniana mpaka che Nkapa watu waliukuwa wanamtania.
ReplyDeleteUnapaswa kuwaelimisha watu kuwa makabila ya wananyakyusa, wachagam wamanda na wachaga ni makabila ya mwanzo kupata ellimu na wengi wamesoma.ukimwona mtu analalamika kuhusu haya makabila basi ni kumuelimisha , na hivi sasa hamna excuse ya mtu kutosoma, sidhani kama wote wanaoandika humu ndani sio wasomi, na kwa maana siyo wote hayo makabila..
Nakala yako ni ya chuki-Michuzi muondoe huyo mtu.
Hii kali, tunaita "ethnic cleansing" coming to Tanzania!, kama mtu mwenye akili yake anakaa na kuandika hii article na akidhani itasaidia nathani anajaribu kuonyesha 'Inferiority Complex' baada ya mtu kuwa mshindani, yaani kwenda shule aelemike ili ajikwamue kiuchumi anafikiria waliosoma waachie ngazi wampe mkimbia umande madaraka! hii ni kali na uchumi je? utakubali wazo hilo na kusubiri? huu ndo ujamaa parse! Mjamaa hafikirii ushindani yeye anafikiria usawa hata kama hana uwezo sasa MMeku amevuja jasho kajenga hospital yake, kwenye siasa humtaki ameamua kusoma Engineering au udaktari kwa bidii zake, jamani hata hiyo pia unataka umpokonye tunaenda wapi Tanzania? ujuzi wake hauna manufaa Tanzania kwa vile Mchaga sio!?
ReplyDeleteHuyu Mchaga unayemwongelea kwanza wengi wao wako katika sekta binafsi, wengi wao kwa vile wanabaguliwahuwezi sema kwamba wanapendelewa kama baadhi ya Makabila au baadhi ya dini kwenye siasa au tender. ukimwona yuko kwenye nafasi basi amehitimu kikweli. Jamani hii si sawa ! Hawa watu wako kwenye Law Practising sector, Engineering, Finance, Medicine, Architecture, Uni lecturering na Business sector.
Kusema kwamba wao ndio chimbuko la ufisadi nathani ni kuwashutumu maana chimbuko la ufisadi tukiangalia statistics hata kwenye baraza la mawaziri kuanzia serikali ya pili mpk ya hii hapa majority si wao. Sikatai kwamba wapo wala rushwa lakini tungalie kuanzia enzi ya kina Kiula, Simba, Mwandosya, Yona, Karamagi n.k. Jina la Mchaga lililo karibu hapo labda ni Mramba sasa jamani huu ni wivu au?
Kwanza naomba kuwaambieni hakuna kabila linalo-interact zaidi ya hawa ndugu zetu. hawa watu wanaweza kuishi na makabila yoyote na kama ukishirikiana nao hawana choyo ya maendeleo. Nadhani hii ni kampeni ya chuki iliyoanzishwa tangu kipindi cha uhuru kwa sababu tu ya Inferiority complexes za baadhi ya wanasiasa, Hawa watu hawajawahi lalamika siasa imewashinda kwa hiyo wameamua ku-specialize kwenye other Professions sasa na huko pia jamani muwanyang'anye? hii si mambo ya Nazism towards Jews? basi huku ndo kutafuta mgawanyiko mwingine wa Watanzania kama Wapemba na Waunguja. Wapeni Uhuru hawa Jamaa basi, Kilimanjaro iwe nchi! pachungu hapo enhe!
Watanzania/Wadanganyika tuamke sababu hizihizi ndo zinatufanya tukatae EAC tukiogopa Wakenya eti wamesoma sasa jamani si tuingie huko ili tupate kaushindani na kamsukumo cha kusoma tuelimike. tuanacha kuangalia mataifa makubwa kama Ujerumani na Ufaransa na Uingereza yanaungana ila kutunya sisi tulio dhaifu vi-nchi tukiungana tutapata negotiation voice (of 120 mio market na sio 40 mio.), kwamba kama hununui 'finished leather' au 'cut diamond' au 'Tanzanite' na sio hide au unprocessed germstone then sinunui magari yako au computer zako nitanunua India/china badala yake! (Mwenye good deal anafanya bishara nami)
Hebu niwapeni mfano, chukulieni mwenye Precisionair huyu jamaa kwa vile anajua biashara aliamua kuingia partnership na Kenya Airways baada ya kuona mizengwe ya serikali iliyopita katika biashara yake na kama asingekuwa bold na kusimama kidete leo hii angekuwa nje ya bishara, badala yake AirTanzania partership na South Africa airline ikafa thanks for fair competition policies tanzania have na Good Courts ikumbukwe kuna wakati SA Airline ilijaribu kutishia serikali isimruhusu kutua Arusha kwa vile alikuwa anawapiga bao! serikali imesahau kuwa analipa kodi na pia kampuni yake imewaajiri 'Wadanganyika'. Ku-fight kwake kumewezekana kwa vile ameenda shule na tunaona kampuni yake inaendelea kukua siku hadi siku wakti huo huo sisi Wadanganyika kodi yetu inaliwa kuazima midege chakavu tukiambiwa eti 'National Carrier' tangu lini serikali ya mwafrika iweweza kumiliki Airline isife? hatuna utamaduni na nidhamu hiyo Jamani? tukubali! hii sekta kama Air Tanzania inataka ku-survive inapaswa kuingia partnership na sector private siku hizi tuna vitu kama Star Aliance, One world au skyTeam ambapo ni umoja wa airlines ambazo zina fanya code sharing mashirika yote makubwa yamo humo huuziwi wateja na shirika lililo humo na kuacha kumuuzia mwenzake. Air Tanzania inaendeleza choyo yake na haimo umo? Hivi serikali ikiamua kununua share Precisionair itakosa nini? maana hili ni shirika ambalo lime-prove kuelewa hii biashara! Mwenye nacho mpe!
Sasa tujiulize Air Tanzania ipo katika hata mojawapo? jibu hapana sasa tutaweza vipi kushindana jibu unalo wewe Mdanganyika huu ni mradi mwingine wa real Mafisadi kula hela. Nathani hata hii article ni mradi wa Mafisadi kueneza chuki juu ya baadhi ya Makabila ambayo ni tishio kwao kujaribu ku diverge attention ya wadanganyika toka the real Fisadi kuelekea the real hard working ethinic group.
Sasa kama hawa jamaa ni Mafisadi si kuna sheria jamani mbona hazitumiki kuwashitaki na wanakula na nani kama si hao Walio Madarakani ambao wengi wao si Wachaga?
Nimemaliza
ndugu Shirima we kweli sijui nikuiteje, we ni aidha mwehu au unafikiria kwa kutumia miguu badala ya kichwa....yaani unaongea utadhani kichwa chako kimechimbiwa chini na miguu iko juu na ndo inayofikiria na kuongea....(Mi si mchaga by the way,lakini hizo pumba ulizomwaga hapo hata sidhani kuna mtu anaweza kufikiria angalau kukutana na wewe kudiscuss jambo lolote coz u can't think even beyond ur nose).
ReplyDeleteE.POISON.
This is Crap! Michuzi huwa unasomaga hizi mada au unarusha tu!
ReplyDeleteIn real life this is not going to happen. But may still wish ur dreams come true.
MEKE! MEKU! MEKU! tirima kituntuu, ngoja nikarie peke hapo kwa Mrema ngichaaaaaa
ReplyDeleteUmetumwa, nini?
ReplyDeleteMdau,
ReplyDeleteMdau 'Shirima' inaonyesha jinsi mawazo yako binafsi unavyo yajengea 'Uchaga' ili uweze kufaidi peke yako na jamii yako tu bila kujali kuwa kuna wananchi wengine pia wanatamani hayo 'mafanikio'.
Mimi binafsi siamini ndugu zetu 'Wachaga' wana mawazo finyu na ya kichoyo kama wewe kuwa kwa kimombo 'the winner takes all'.
Hapa Uingereza na sera za upendeleo kwa wanawake, watu wa rangi(waafrika, wahindi n.k), na walemavu pia. Kwani Waingereza 'wasomi' wameshagundua kuwa bila sera za upendeleo kwa watu walio nyuma kidogo kutokana na sababu tu kuwa walizaliwa wakiwa weusi au akina mama, wafe kivyao.
Nchi zilizoendelea zina sera za upendeleo(positive-discrimination towards equality), mfano Uingereza na USA. Hizi sera za upendeleo zina wezesha jamii kutulia na kuepusha machafuko kama ya weusi wa Uingereza dhini ya weupe kutokana na ukosefu wa ajira, nafasi za masomo, nafasi za uongozi wa kisiasa au biashara.
Hivyo ndugu 'Shirima' sera hii ya upendeleo ni ya kukusaidia wewe na jamii yako isije kushambuliwa au kutokea machafuko ya kijamii.
Mdau
Rocky
London
Mada yako ni nzuri na inaonyesha ni kiasi gani unaipenda nchi yako ya Tanzania, kama mimi ninavyoipenda. Ila kabla sijakujibu ningependa nikuulize swali moja: je una uhakika wa kutosha wa kusema kwamba Wachaga wanachukiwa na kunyooshewa vidole?
ReplyDeleteKama Historia inavyotufundisha, Maeneo ya kaskazini mwa Tanzania wakoloni waliyapendelea na kwa sababu hiyo basi...wingi wa shule ambazo leo tunaziona, na wasomi. Wachaga, Wahaya na hata Wangoni ambao wamesoma ni kitu cha kujivunia kwa taifa lote, siyo kabila tu peke yake. Ukabila hauna dili yoyote, na kama ungekuwa ni kitu kikubwa, jiulize kwa nini nchi za wenzetu wazungu hakuna ukabila au hata kama upo, hauthaminiwi? Just because University of Dar es salaam has a lot of educated people from the Haya and Chagga tribes, doesn't necessarily mean they are arrogant and conceited, and should not be a pretext for other tribes to lodge hate and envy. Tanzania has not history of tribalism, and god willing will remain so for centuries.
Bro Michuzi kweli inanisikitisha sana ninapoona kuwa una entertain mambo ya ukabila huku kwenye .com yako. Its a shame that you cant see what effect this thing might bring to our country. Tanzania has been known by holding its peace through out and God has been there for us. Now wachache wetu wameanza kutangaza vita dhidi ya Wachagga... na hii usipoangalia Michuzi itaishia kwenye VITA DHIDI YA UKABILA. Now watch out brother dont entertain stupid ideas that dont bring any maendeleo. Kwani... ni nani amemnyima mtu kusoma naye achukue hizo nafasi zilizokaliwa na Wachagga. Na kwa nini pesa za Wachagga ziwaume sana. Do your homework the so called Mr. P. Shirima. You are holding a Chagga name yourself but you are encouraging stupidity in your mind. Clear that out. Rudi shule kasome. Elimu ya watu wazima si bado inaendelezwa. Grow up and stop hating! Michuzi be careful wasije kukutia matatizoni watu kama hawa....kwani na hii .com yako utaiona kituo cha polisi. Kama umeichoka wauzie Wachagga watakusaidia kuitunza na kukuzalishia pesa humu humu zaidi ya unazozalisha sasa. Akili ni nywele kila mtu ana zake. Wewe Shirima kama nywele zako zinadondoka hovyo kaa mbali yamekushinda. Waache Wachagga wa watu wafanye vitu vyao. Hebu acheni visa. Nawashauri wanaume na wanawake walio single kuoa au kuolewa na Wachagga kama kweli una business mind au unapenda maendeleo katika maisha yako. Na siwadanganyi, mwanamke wa kichagga ukishamweka ndani tu.... mafanikio hayooooooooooooooooo. Hebu chekecheni kidogo kwa mnao wajua akili zao zilivyochangamka. Hustlers for life sio kukaa kuangalia mambo ya uzuri uzuri tuuu bila ku-focus. Pesa mbele babangu. Wachagga nawapenda sana, sana, sana. Na sitaacha kusema na kuwasifia daima. Nimeshuhudia mengi sana. Nami nimefanikiwa kwa mengi bila kutegemea. Ni kumsikiliza mpenzi wangu na kushauriana naye ndio kumenifikisha nilipo hapa. Mungu anipe nini tena? Nakupenda sana Manka wangu. Na kama una masikio ndugu yangu unayesoma ujumbe huu, sikia mawazo yangu! Manka amenitoa mbali sana. Wachagga wadumu siku zote. Shirima wewe ni hater mkubwa sana. Achia hilo jina la wenyewe. Hebu weka sura yako humu tukujue kabisa tuanze kukutenga.
ReplyDeleteShirima,
ReplyDeleteNaona mwenzetu UNAFUKA Moshi kama vile uko Moshi ya Wachaga. Acha kuleta TOPIC usizozielewa vizuri kutoka JAMIIFORUMS. Laiti ungelielewa Mzee MwanaKijiji alikuwa akimaanisha nini, usingeliichukua nzima nzima na kuileta hapa. Kule kulikuwa kuna sababu zilizopelekea hii iandikwe hivyo. Ni sawa na kusoma Biblia kwa kurukaruka. Unafungua na kukuta pameandikwa "... (YUDA ISKARIOTI)akaenda kujinyonga.." Unafunga na kufungua tena na kukuta pameandikwa "... (Yesu akimwambia yule Tajiri) na wewe nenda kafanye hivyohivyo.." Na wewe nenda kajinyonge. Yes, Go hang your self 50 times kama Wazimbabwe wanavyosema. SIZYA.
Waerevu wakang'amua...
ReplyDeleteNdugu Shirima ametoa hoja nzito sana hapa japo alisahau kupendekeza wale ambao wameoa au kuolewa na wachaga nao watalikiane. Maadam mada imeanzishwa,, wakristu wengi zaidi walisoma elimu dunia na hivyo kujikuta wanafanikiwa kupata nafasi alizozitaja Shirima hivyo basi nao wafuate mfano alioutoa Shirima. Halafu kuna na Wanyakyusa, Wasukuma nk. Iundwe tume na serikali kuchunguza makabila ya wafanyakazi wetu nchini ili kuwaondoa watu wenye makabila yasiyo sahihi hata kama wana sifa na kuwapa nafasi watu wa makabila mengine wakajaribishe na wao.
Siyo hayo tu, kwa wale tuliosoma shule za boarding, kila mahali kulikuwa na vioski na vibanda vya wauza chipsi mayai, wengi wa hawa wajasiriamali walikuwa ni wachagga, labda huko walikuwa wanapendelewa pia. Wangewaachia makabila mengine wakauze chipsi mayai ili wao wapendwe na wasionekane wanapendelewa.
ReplyDeleteI think that was a little bit stupid.
ReplyDeleteOooh wamesoma sana !! aliyesoma hasemi kwani hana haja hiyo .
Makabila mengi nchini wamesoma ila hawana ubinafsi. !! you get my POINT ??
Kinachowakwaza watu ni UBINAFSI na si UKABILA kama unavyodai.
Ulaji wa RUSHWA na mambo kama hayo.
Wasalaaam Richard.
Kuna wimbo ulisema "MTAJI WA MASIKINI NI NGUVU ZAKE WENYEWE". Wachagga tuna maendeleo na tumejaa kila kona ya hii dunia na sio kwa kupendelewa bali na kwa juhudi zetu wenyewe. Uliza utaambiwa. sisi ni watu tunaofikiria maisha na kufocus kwenye future na maendeleo. so kama kuna watu wanakaa tu kutegemea kuletewa pole zao..... inabidi wajifunze kutafuta. Karibu X-MAS moshi ujiunge kwenye discussion zetu labda utaambulia siri ya mafanikio instead ya kulalamika humu.
ReplyDeleteGood Luck!
Ndugu Shirima, uliyosema ni ya kweli, kuna kipindi fulani mwaka 2000 nilienda kufanya Intaviu bandarini, nikakutana na Muitaliano akaniambia amesha ajiri mchaga mmoja hivyo mie (mchanga)hataniajiri tena.
ReplyDeleteLakini ikumbukwe kuwa: awali ni awali hamna awali mbovu.
Hakuna kingine zaidi ya wivu kwa vile wachaga wengi wanajituma na kufanikiwa .watu wote wangekuwa wanajituma kama kabila kichaga basi nchi ingekuwa na mafanikio mengi sana.
ReplyDeleteUTUMBO MTUPU!UNATOKA KATIKA NCHI AMBAYO INA MARAIS WANNE TUU TOKA IASISIWE NA KATIKA HAO WANNE WAWILI NI WALIMU WA SECONDARI BADO UNAHUSISHA UONGOZI NA ELIMU!
ReplyDeleteSIJASOMA HADI MWISHO,JE UMEONGELEA MABOSI WA MAJAMBAZI NI KABILA GANI?
Nakuunga mkono Mdau Shirima. Sasa wakiachia ngazi alafu wafanye nini. Je? kuna wasomi watakao weza kujaza nafasi zao wote kutoka kwenye hayo makabila uliyoyataja.
ReplyDeleteKwa kumalizia, kuna kabila ambalo hata hao wachaga wanaliogopa maana hilo kabila liko stable kila kona, kwanzia elimu mpaka financially Nafikiri hilo kabila unalijua haina haja ya kulitaja au?
kwanza niseme kwamba wanaomlaumu mz michuzi kwa kubandika maoni ya mz shirima wana uwelewa mdogo. ni vyema watu wapatiwa nafasi ya kutoa maoni/ mitazamo yao bila kufungwa na kitu cho chote ili maoni hayo yajadiliwe kama tunavyofanya hapa. hii ni hatua ya maendeleo. ikitokea watu wote tutakaubliana na mtazamo mmoja jua hapo hakuna maendeleo. mz shirima anaeleza hisia ambazo zimo zinazunguka katika jamii ya tanzania. hakuna faida ya kufumba macho na kujidai kuwa hazipo. kuna faida kubwa kutoa uwanja na wanajamii wakaanza kuzichunguza, kuzijadili, kuona chanzo chake, na hatimaye kuafikiana juu ya mtazamo endelevu. jamii ya tanzania inaundwa na watu wa makundi tofauti ikiwa ni pamoja na makabila, jinsia, umri, imani za kidini, wasomi na wasowasomi bila hata kusahau mafisadi na wazalendo, nk. huu ndio ukweli na hatuwezi kuukana. kila kundi linamyenendo yake, ambayo wakati mwingine inaweza kuleta maudhi au athari mbaya kwa jamii.
ReplyDeleteYote hii inatokana na kwamba Basil Mramba ametolewa Uwaziri. Ninyi wachagga mnadhani ndo wasomi peke yenu? Mbona kuna makabila mengi Tanzania hayana mawaziri na hawalalamiki? Ulisika wapi Mmatumbi kawa waziri? Mbona hawajali? Mbona ninyi wachagga mnataka kujiona keki sana? Hebu acheni hizo.
ReplyDeletemada hii kaileta Mwanakijiji kwa jina la shirima ana mchezo wa kutumia majina tofauti kufikisha ujumbe wake kama vile Mwafrika wa kike,bi senti 50 n.k
ReplyDeletekule jamiiforums.com kwenye hoja nzito.
kulikuwa na madai ya ukabila hasa uchagga ndani ya Chadema yaliyotolewa na makamu mwenyekiti wa chadema bwana Wangwe.
baada ya Wangwe kusimamishwa kukawa na mjadala mzito juu ya uchagga chadema na viti maalum vya ubunge sita walivyopewa wachagga watupu.
Mwanakijiji ambaye ni mtetezi wa karibu wa Mbowe akatetea sana akawa anazidiwa hoja, basi akaamua kaunzisha mada hii ya kusema kuwa wachagga wanaonewa ili kuhalalisha upendeo wa ukabila ndani ya chadema.
akafanya mahojiano na Wangwe nae akathibitisha kuwa Chadema hata madereva na walinzi makao makuu ni wachagga watupu,mnaweza kuona mahojiano yake huko kwenye www.klhnews.com.
baada ya kuona kuwa wanachama wengi wa Jamii Forums hawamuelewi kwa kushabikia chadema na uchagga kibubusa.
akaanzisha mada ya kusema kuwa CCM kwenye kamati kuu kuna udini yaani waislam wanapendelewa na CCM chama cha kiislam,ikiwa ku counter attack au kusema kuwa kama chadema ni wachagga basi na CCM kuna udini. hoja yake ya udini haikupata nafasi kwani ilipopigwa hesabu ya mawaziri, makatibu wakuu,wakurugenzi wakuu wa mashirika mbalimbali, wenyeviti wa mikoa na makatibu wao hao wilayani makatibu na wenyeviti ikaonenakana waislam ni wachache sana kulinganisha na wakristu.
sasa baada ya yote kumshinda,
ameamua kuleta uchochezi wake huku kwa michuzi.
mnaopenda kuthibitisha unafiki wa mwanakijiji mnaweza kupitia mada alizoanzisha jamii forums kama ya 1-kamati kuu ya CCM na udini 2-Chacha wangwe asimamishwa Chadema 3-viongozi wa kichagga serikalini.
msiumize vichwa kuhangaika na mada hii aliyoileta hapa. sisi tulioko kwenye jamii Forums tunamjua mbinu zake za kutumia multiple Identities.
Mdau Ngapulila wa Jamii Forums.
wachagga sio waaminifu na wabaguzi wakubwa tizama TRA wamejaza wao watupu.
ReplyDeleteVETA (mamlaka ya ufundi stadi)wamejaa wao tu.
sio wamesoma wana hila za kikabila.ina maana MBOWE ana digrii kuwa mwenyekiti chadema? ana elimu ya kidato cha nne, MBATIA ana kidato cha sita,
mrema darasa la saba, sasa kama wamesoma basi wangetupatia wenye viti wenye walau diploma.
matokeo ya kidato cha nne na sita hakuna shule wala vijana wa kichagga katika kumi bora zote.st-Francis IKO mbeya ndiyo inayoongoza.
na shule za mwanzo zilkuwa Tanga, Tabora na morogoro viongozi wengi wamesoma mikoa hiyo sio KILIMANJARO.
CRBD wamejaa wachagga watupu,
ukabila upo mkubwa sana.TRA hadi bungeni imelalamikiwa kwa ukabila wao.
Mpeni mbege huyo
ReplyDeleteNdugu wadau, watanzania wenzangu tusiwe serious sana na maisha. We should have a sense of humor kidogo. Chaggah people are relatively more successful and famous compared to most Tanzanian tribes. So they are an easy target of jokes. Sio suala la chuki na ubaguzi. Take it easy and be able to have a laugh at yourselves. Na pale unapoona kwa mawazo yako mtu anakuwa personal na utani unakuwa si utani bali ni chuki just ignore him them. Atakufanya nini kwani? Kama ni hela, elimu, mafaniko, etc. utaendelea kuwa nayo. Haina haja kurukia sera za ukabila.
ReplyDeleteMakabila mengi tu yanataniwa mara kwa mara; wahaya are often targeted as well, as are the sukumas. Wagogo wanataniwa na stereotype ya ombaomba kama vile wanyalukolo tunavyowaita ni mabeki 3, wasambaa tunawacheka na lafudhi yao na sisi wayao na wasouth wenzetu mnatutania kwa kupenda ngoma, lafudhi yetu, kula Yeila, etc.
PS: Unajua utani ukichukia basi mtani wako ndio unazidi kumpa bichwa?
kama bwana shirima utafunguwa kampuni yako na ukawaweka wachaga watupu hakuna atakaye lalamika, hata kama utawaweka ndugu zako watupu , wanao au rafiki zako.
ReplyDeletetatizo linakuja pale unapofanya mambo hayo kwenye ofisi ya serikali au shirika la umma.juwa kuwa kila mtu ana haki katika uwanja wa ajira bila kujali anatoka mkoa gani au kabila gani.
hili linachangiwa na kutokuwepo system hapa kwetu tanzania, lazima pawepo checks za mambo kama hayo na mengineyo,kuona watu wananafasi gani katika serikali na mashirika ya umma bila kutazama makabila yao.
inajulikana tanzania , bima wanyakyusa, maji wahaya, ,znz ukiwa mpemba kazi hupewiau ukipewa nyadhifa za juu hupati. hiyo ndiyo tanzania , na kuzungumzia mambo hayo ni dhambi kuwa unaleta ukabila,
lipi sawa kuzungumzia na kurekebisha au kukaa kimya na mambo kuendelea kuwa ya kupendeleana?
mhh!!! huyu jamaa kaleta topic hiyo makusudi kuchokoza. anajua fika kuwa hana hoja!!
ReplyDeletendugu michuzi haina haja ya kuendeleza hii mada kwani itatupeleka pabaya.hivi hatujifunzi kwa wenzetu kwani haya mambo ndio yaliwapelekea kuanzisha vita baina yao kisa ukabila na sisi tunataka kwenda hukohuko.ukiona mtu anaanza kuzun gumzia ukabila,utaifa ujue huyo ni mbinafsi!tumepewa nafasi sote tuitumie kujiendeleza ili tufike pale tunapotaka kuwa.Mulla
ReplyDeleteMichuzi kama hakuna mada naomba tujadili Umeme, elimu yenye pyramid structure, economy, social or political.
ReplyDeleteTuongee mambo yatakayo saidia Tanzania na sio wehu wa nani anamchukia nani. Mfumo mbovu wa kuwaza wa Watanzania wengi ndio utapeleka Tanzania kwenye coma.
Mdau Aishie Marekani
Hapa naona hakuna kitu cha maana zaidi ya uchochezi, Hivi kwa nini watanzania wanapenda kuongea bila takwimu.... Je kuna mtu anajua kwamaba sekta ya umma inaajiri kama asilimia 3 tu wakati sekta isiyo rasmi na kilimo ni zaidi ya asilimia 90 jumlisha na uongozi ambao si ajira kama sikosei. Lakini hawa wachaga wanaotuhumiwa katika hiyo asilimia tatu labda wanakaba wenyewe, na pia kwa hiyo 90 wanakaba pia. Sasa huyu mtoa mada anataka waachie ngazi kwenye hiyo asimilia 3 ambayo haitaleta faida kwa kadiri ya mawazo yake. sasa mimi napendekeza ajitahidi kupiga kampeni kuhakikisha wachaga hawajihusishi kabisa na shughuli za informal sector hapo atakuwa amefanikiwa. Lakini kama hawezi nampa pole. Kuwa mbunifu ndugu utabaki kusema dunia isimame ndio maendeleo yaje kwa waafrika....stupid idea....
ReplyDeleteMimi siyo Mchaga na nina mashaka kama anayejiita Shirima yuko "siriasi" kweli! Haingii akilini kwamba nikiwa kama Mchaga nina shida ya kazi, imetangazwa, na sifa ninazo lakini nisiombe au niiachie kuyapisha hayo makabila madogo,kwasababu ya Uchaga! Kinachofuatwa hapa ni sifa ya mtu na si kabila lake. Ni vizuri Wadau wa blog hii tukajitahidi kuandika mambo ya kujenga jamii yetu na siyo ya kubomoa. Mtu kama huna cha kuandika, soma mada walizoandika wenzio na usiandike tu kwa ajili ya kuandika (write for the sake of writing)au unaandika ili uonekane nawe umetokea kwenye blog!
ReplyDeletehaya mambo ya ukabila yanakera kwa kweli kwa karne hii sidhani kama ni haki kusema eti kabila fulani wamesoma kuliko lingine ukweli ni kwamba makabila mengi yameamka hii si karne ile amabayo watu wengi walikuwa usingizizni kubwa ni kwamba hakuna haja ya kuhamaki bwana shirima inmabidi mkae na kutafakari na kuacha hayo mambo ya kuangalia majina wakati wa kupitia maombi au wakati wa kuajiri, CV ndio msema kweli na hili kwa nchi yetu halizingatiwi kabisa, na ndio maana ukabila unazungumzwa sana kwa maana makabila yaliyokuwa yanadhaniwa hayajui umuhimu wa elimu sasa wameibuka na wanahitaji watambuliwe, mifano ipo mingi kubwa ni kuzingattia na kurekebisha mfumo tulionao, tunashuhudia maofisi maboss wanaficha scholrship kisa tu anasubiri mkabila mwenzie ndie ampe!! hii ni aibu na kero kwa nchi kama tanzania ambao tunajiita tunamshikamano! enough is enough, ukabila utokomezwe, tanzania iwe ya amani na haki kwa watu wote hakuna kabila lenye nguvu hizo ni propaganda za enzi za miaka ya sabini kweusi wakati mashule yalikuwa ni yale ya wakoloni yaliyojengwa mikoa fulanifulani tu sasa kila tarafa kama si kata ina sekondari Tanzania!!!!
ReplyDeleteMichuzi unashangaza, katika mada zote JF umeona ulete hii huku?
ReplyDeleteWachaga mnaonekana kuwa siku hizi mnapenda sifa, hivyo mnajadiliwa kila mahali ili mjazwe upupu kichwani mshindwe kufanya kazi kama baba zenu.
Mchaga alikuwa zamani, siku hizi jina tu, hakuna chochote. Wavivu tu kama makabila mengine, uchawi, visingizio, majungu maneno mengi.
Mchaga wa zamani ulikuwa humkuti kwenye vijiwe.
Watu wenye maendeleo ni WAHAYA, mnawaogopa?
Semeni ukweli, sie wachaga ni urithi tu,
Wewe mdau uliyesema wachaga wamejaa vodacom una lako jambo, ulikosa kazi pale?
ReplyDeletekama wamejaa voda, au celtel au serikalini, au kwenye mabiashara kama kariakoo wamejaa kwenye mavyuo, wamejaa nchi za nje, inamaana wako wengi in general au siyo?
hata magerezani labda pia wamejaa!!! (god forbid)
JAMANI MEKU, mimi nasema kweli managi wanaukabila sana na hii inadhihirisha ukifungua duka karibu nao basi wewe ndo utaibiwa kila siku. wamefanya hivyo hata kwa wahindi kule moshi. kwa upande wa kusoma sidhani kama wao wanazidi makabila mengine bali ni miongoni mwa makabila yaliyojaliwa kusoma. acheni ukabila, sisi wote watanzania.
ReplyDeleteHuu ni ukweli kabisa Wachagga wanajipendelea sana.Mnao bisha mna masirahi binafsi angalia maendeleo kimkoa kati ya mikoa ya kaskazini na Kusini ndo utakapo jua je wachagga kwa nini wanaubinafsi.
ReplyDeleteTembelea mkoa wa Kilimanjaro utakuta mpaka vijijini kuna rami na umeme kisha shuka Mikoa ya kusini kuna wilaya hazina hata umeme wanatumia majenerator achilia mbali barabara za rami ambapo kuna mikoa rami ipo kuelekea kwenye ofisi za mkuu wa mkoa tu kama hapo Rukwa.Kwa nini tusiwaite wachagga wabaguzi hao hao ndo walioshikilia vitengo vingi serikalini na ndo wenye maamuzi.Hawa waondoke bwana ndo wanao sababisha unbalance ya maendeleo kwa kujipendelea mpaka ajira.Ukweli unabaki kuwa ukweli tu mpondee weee lakini ukweli unabaki pale pale.
Mimi mdau Mgosi.
Naona aliye andika hii mada alikuwa hajui alalmike nini hvi badala ya yeye kuangalia afanye nini ili asonge mbele anakaa kuangalia wachanga waachie ngazi naona huna jipya akajipange upya coz hana la kusema. lakini naona huyu anataka kuleta ukabila kwenye nchi hii wakati sie watanzania hatuna hilo asizungu mzie wachaga wote kwa ujumla coz hajui arepresent vp hoja yake.
ReplyDeleteHi!!
ReplyDeleteShirima wewe ni mwehu.........
Ongelea mambo ya maana kuwaunganisha watu tujikwamue na umaskini pia tuweze kuwa na utaifa ku fight against mafisadi na rasilimali zetu zinazochukuliwa kiholela.
Ucha UJINGA wewe !!!na kwa taarifa yako sasa mimi ni mpare, ila hata mimi mada hii imenichefua.
kwa kweli unanitia hasira na hiyo mada yako isokuwa na kichwa wala miguu, kuna wachaga wanaotoka URU kwa kweli hawa ni wa mwisho kabisa kimaendeleo katika mkoa huo wa wachaga, lakini wanajisikia na kujidai sana.... wana mambo ya ukabila na ndo maana wananyooshewa kidole cha tabia mbaya ya ukabila na sio mambo ya uongozi
ReplyDeleteUnajiita Shira, mchagga gani aweza kuwa na fikra finyu kama zako? Au uchagga wako wa kuibia? Watu wanapambana waondokane na umasikini wewe unaleta ukabila tena unahatarisha usalama wa jamii? We unataka mambumbu wapewe idara tutafika wapi? Samahanini wadau ila lazima niseme kuwa HAYA YA KUWAPA MBUMBUMBU NAFASI NDO MAKOSA MAKUBWA YALIFANYIKA WAKATI BABA WA TAIFA NYERERE ALIPOCHUKUA NCHI,KUCHUKUA VIWANDA NA VITEGAUCHUMI VINGINE NA KUWAPA WATU WENYE ELIMU NDOGO MATOKEO YAKE VYOTE VILIKUFA NA KUANZA KUUNZWA TENA KWA WAZUNGU TENA KWA BEI YA KUTUPA. Shirima acha fikra za(kiuendawazimu),samahani lakini kwa kuwa harsh on you.
ReplyDeleteMchagga Mkereketwa!
WAMEINUKA WAMEINAMA WANAONA HAYA HAOOOOOOOO WALIKIMBIA UMANDE, WAMEINAMA WAMEINUKA WANAONA HAYA HAWAJA JIPYA.
ReplyDeleteKweli wote wanaosungumsia kabila letu wamekosa kazi pole zao
ReplyDeleteBro Michuzi nawewe unapoteza mwelekeo! how could you allow such a crap in your website?
ReplyDeletehivi kweli tumekosa hoja za ku-discus mpaka tujadili huu utumbo wa makabila?
na kama hoja ni ufisadi, inamaana EPA, RICHMOND, RADAR DEAL, MEREMETA, TANGOLD, NDEGE ya RAIS, MIKATABA ya UMEME (IPTL, etc) yote hii ni wachaga tuu?
wahindi "waanzilishi na watetezi wakubwa wa rushwa" hawaoni? amefanya research ya kutoha kweli?
jamani kama kweli tunaipenda Tanzania then tuwe careful na hoja zetu. hasa mambo haya ya ubaguzi...
red-indians wako wapi leo hii kule USA?
tunapaswa ku-advocate njia sahihi za kuimarisha maendeleo ya mmoja mmoja na ujumla kwa wananchi na Taifa letu.
Please michuzi kuwa makini na hoja unazoleta hapa... hizi crap mkajadili bar.
Wadau hakuna haja ya kufuka mvuke kwa hasira dhidi ya huyu Shirima...
ReplyDeleteI believe lengo lake ni nyie m-'read between the lines' ndio mtapata ujumbe. Kama ujumbe haujafika there is no need to crucify this Shiri guy (or lady, for that matter).
IQ zetu ze bigi problemu eeh?
Mmatumbi Damu
Hana hoja huyo, wachaga ndo nini bwana kuna wenzao wamechoka huko wanaomba hata chumvi kwa jirani karne hii, kusoma ni bidii ya mtu aliekosa kwa kukosa elimu hana haja ya kulalamika kama ana nguvu aingie class aanze kupiga nondo aibuke na vyete akaombe kazi, but that ia life ..
ReplyDeleteNgapulila asante kunifumbua macho.
ReplyDeleteShirima kuna usemi unasema "usimwamshe alolala ukimwamsha utalala wewe." Kama swali ni kusoma tu mbona siku hizi tunasomesha watoto wetu woteeee tena kwa sana tu baada ya miaka kumi ijayo wamatumbi wote watakuwa na magamba yao vibindoni na vitu vipana kichwani, sasa hapo ndo tutaangalia upya hili swali lako na jinsi ulivyolifafanua , sasahivi sina cha kukujibu ila naona unanyunyiza chachu ndogo kali kwenye donge dogo la unga hapa, Hilo swali la kusoma au kuchapa kazi kwa bidii ndo tunalipigia domo kila siku humu kijiweni kwa jamii na watoto wetu, kuwaandaa kwa badiliko la maendeleo ya sasa na baadae.
Bwana shirima nachelea kuogelea kwa undani zaidi kwani dhamiri yangu inaniumiza ndani kwa sababu familia yetu tumechanganyika na Wazigua,wapemba wachaga, wanyakyusa,wahaya,waha, wajita tumezaliwa humo tumeoa huko tumeolewa infact tumejichanganya na tunaheshimiana na kusikilizana.
Hawa wote wanao mwona Shirima mwehu ni wachagga hao hao wanajilinda ndo maana inawapain nani asiye wajua kuwa nyie wabinafsi??Uchoyo mbele ubinafsi mbele upendeleo mbele.Itafika kipindi mtageukwa tu nyie subilini ndo maana hata kwenye kugombea Urais watu iwa wanapiga chini wanawajua nyie mkiingia tu kwenye usukani basi tumekwisha mtaiba sana nchi hii.
ReplyDeleteMtaishia tu uwaziri na ubunge huo na uongozi mnaopeana kwenye vitengo nyeti.Ila siku zenu zinahesabika haswa pale TRA mtaona.
Mwang'onda
Kwa kifupi mada za kikabila sidhani kama zina mchango wowote kwa maendeleo yetu.
ReplyDeleteNamnukuu hayati Baba wa Taifa
" Tunaingia karne ya ishirini na moja kwa basi la ukabila .....!!!!"
Hapo alikuwa anawashanga wale waliokuwa wanaleta mambo ya ukabila katika zama hizi
Ukabila ninavyojua mimi kwa Tanzania unatumika katika kutaniana tu na wala si vinginevyo
Kama wachaga wanamaendeleo basi iwe changamoto kwa makabila mengine na wao waongeze nguvu
Na kama wanashika nafasi mbalimbali kutokana na uwezo wao kitaaluma basi ni vizuri lakini kama ni kwa kupendeleana basi hiyo si sahihi.
Kilichopo ni kuwa ifanyike Research(utafiti) au iundwe tume kufuatilia kama kuna upendeleo kikabila katika nafasi mbalimbali za ajira na kama ikibainika kwamba kweli kuna upendeleo basi wahusika wawajibishwe.
Naomba Michuzi hizi hoja za kutugawa zisipewe nafasi kwani Tanzania ni taifa moja lenye watu wamoja
Shirima tunashukuru kwa kusogeza mawazo haya isipokuwa ungetakiwa mwishoni uaknoleji kuwa huu ni utunzi au ni desa toka kwa Mwanakijiji au JF.
ReplyDeleteMichuzi hana kosa hapa wala shirima maana huu pia ni uwanja wa kuchokoza mada ili watu wakune vichwa na kutoa maoni yao. Hoja nzito ndio zitasimama na zile nyepesi zitajipembua zenyewe kutoka katika ungo.
Wengi tumejibu au tumetoa mawazo kwa jaziba wakati hakika kwa wachambuzi makini Mwanakijiji alikuwa anapinga (ini e paraboliki wei)ubaguzi au kero ya kuwasema Wachaga kwa vigezo vya wingi wao tu katika nafasi mbalimbali! Haki ni zaidi ya kutafuta tu msawazo wa nambari!
Jamani tupambane na watu mmoja mmoja au katika vikundi (bila kujali kabila lao) ambao wanakiuka maadili ya kazi zao na wanaoturudisha nyuma kimaendeleo katika kile wanachokifanya ndani au nje ya nchi yetu.
Vingineyo mada hiyo orijinali toka kwa Mwanakijiji ni sawa na hii niiletayo hapa chini.
*********************
Kuanzia sasa sote popote tuwe macho tusiendelee kudharauliwa kuwa wengine hatuna uwezo wa kujieleza au kuchambua rai na kuziwasilisha barabara na kuwashawishi watu katika jamii mbalimbali kiasi cha kukubalika hadi kupewa dhamana ya KUWAONGOZA isipokuwa watu kutoka Mara (Musoma?).
Fikiri ni viongozi wangapi (kwa asilimia)wamepita pale MLIMANI (DARUSO) na hata vyuo vingine vyote Tanzania na hata nje ambao walitokea Mara (Musoma?). Kwanza mara nyingi huwa ni wachache kwa asilimia katika hizo jamii lakini tunawapa uongozi kwa nini - why? Hata rais wetu muasisi wa kwanza wa Tz alitoka huko tena katika kabila dogo la Wazanaki na wakati walikuwepo wengi wasomi kutoka Kilimanjaro, Mbeya, Mwanza na hata Kagera na kwa nini mawazo yake yawe na mvuto mkubwa (kwa wengi/wachache) mpaka leo?
Hitimisho:
Waliotoka Mara (Musoma?) wala walioa/olewa nao sasa wasigombee tena nyadhifa huko vyuoni wala katika foramu zozote za kimtandao wala katika asosiesheni za Ughaibuni n.k ili kuwapa wengine watokao maeneo mengine nafasi hizo pia.
duh...this one made my day 4 sure!Comment za watu zimeniacha hoi! Nilikuwa sijui watu wanawachukia wachagga namna hii! duh!
ReplyDeleteI would only suggest that ppl shld be open minded! Watu wanapenda sana kutafuta a scape goat wakati wa matatizo. Ukikosa ajira utadai wachagga wanajipa nafasi wenyewe, hichi kikitokea utadai wachagga. nafuu hatuna mawaziri wengi na urais hamtupi maana napo mngedai mafisadi ni wachagga! We have to be very careful...twaweza kwenda pabaya. The same thing happened in Germany enzi za Hitler.
mtoto
Irua Mangi!!!!!!!!
ReplyDeleteWachagga ndio nini? Wote tu wa-Tanzania!
Laleni na mwamke salama u salimini, kama wa-Tanzania!
We Michuzi ha hao wanaojadili hili swala kama mmekosa mada basi acheni kuandika. Haya mambo ya ukabila wenzenu tangu mchonga alipoondoa tulisha sahau sasa mnaanza tena. Kwa wale tuishio Dar wengine hata kabila la jirani yako hulijui mpaka siku ya msiba au kama anatoa mwali.....
ReplyDeleteMi Kabila langu Mwislamu dini yangu Mkristo na kwetu Temeke....
Huu ni ushenzi, uchafu na kuvuruga malengo ya nchi ya kuondoa Ufisaidi.
ReplyDeleteToka lini Ufisaid ukawa na Ukabila??
Hata hapa kukaa na kuandika juu y ahii mada hawa jamaa wenye lao jambo wamefanikiwa!!
Uchagga, Uislamu, Uzanzibari, kitakachofuata ni nini??? Wantanzania naona sasa tumechoka amani au tumelewa na hizi blogs na uhuru huu wa kuandika
Ushenzi mtupu huu.
Taasisi
Unalako jambo yaani wabunge waachie ubunge halafu mnywamwezi aje kuwa mbunge wa uchaggani? Akili yako mbovu sana...wewe unabeef na wachagga.....Wacha wenye akili waendelee wewe kalia kupiga domo wenzako wanasonga mbele....
ReplyDeleteHuo muda wakuandika gazeti lako lote hilo ungetumia kuvumbua kitu at least tungekua mbali sana.....
Wachagga wachagga..... si mtafute wachumba wa kichagga basi muwaoe. Tatizo ni nini? Maendeleo tu...mbona rahisi sana...we oa au olewa na Mchagga basi mwisho wa matatizo yako...... Kaa chini u-rie mbeke mbaka uchanganyikiwe. Utakula raha ..... grow up kimawazo sio kugandamiza makabila ya watu. Step in tukuonyeshe wachagga ni kina nani. Pesa zetu na Elimu yetu isiwe ni homa sana kwako.......... . Shirima hilo jina badilisha ...u dont look like you belong to this group. Ciao
ReplyDeleteWachagga wachagga..... si mtafute wachumba wa kichagga basi muwaoe. Tatizo ni nini? Maendeleo tu...mbona rahisi sana...we oa au olewa na Mchagga basi mwisho wa matatizo yako...... Kaa chini u-rie mbeke mbaka uchanganyikiwe. Utakula raha ..... grow up kimawazo sio kugandamiza makabila ya watu. Step in tukuonyeshe wachagga ni kina nani. Pesa zetu na Elimu yetu isiwe ni homa sana kwako.......... . Shirima hilo jina badilisha ...u dont look like you belong to this group. Ciao
ReplyDeleteMimi nawaambieni bila wachaga kwenye uchumi, Tanzania itafanana na Uganda baada ya Iddi Amin kuwafukuza wahindi.
ReplyDeletemalisa
Hii mada imejadiliwa jamiiforums bila solution yoyote, na aliyeileta hapa na aliyeiweka jamii forums wote nahoji upeo wao wa akili na wa kufikiri. However, mjadala huu hauna matunda yoyote kwa anayeamini yaliyoandikwa zaidi ya kuumuza roho na akili za watu wenye fikra finyu.Ushauri wangu ni huu, ukiona mwenzio kasonga mbele muulize siri ya maendeleo na sio kujenga wivu na majungu! Siamini kama wachagga wameendelea kwasababu ni wachaga ila najua wameendelea kwasababu wanaamini kuwa " You can get anything you want or be anyone you want to be, in this world;Only if you have the desire and work hard to achieve your goals and dreams"
ReplyDeleteMtajadili, mtapanda, mtashuka,mtanuna ila ukweli utaendelea kuwa ukweli, na siku zote huwa unauma sana.
VIVA THE LAND OF KILIMANJARO.
Nkamangi.
Michuzi, Shimboni
ReplyDeleteI am above the above arguments, I am an ostrich, there is a problem, I burry my head in the sand. I simply want to ask for a small favour, would you consider tabulating the responses in numbers instead of bullets for ease of reference
wacgaga mmesoma nini na wapi, hiyo elimu ya IFM , na UDSM ,ya kudesa na kupewa degree za kujiuza,
ReplyDeletehao wanao peleka vyombo mpaka sayari ya pluto watasemaje kama na nyie mmesoma.
wakija wakenya tu mnalalmika kuwa kazi hampewi wanapewa wageni.
hakuna alosoma. mngekuwa mmesoma mngepewa kazi, degree zenu zinaishia tanzania.
tanzania ukabila mtupu, jwtz -jeshi la wa -kurya tangu zamani.
TRA -wachaga , .bima -wanyakyusa, maji ,-mabwenga,
kama hamtaki kusema nawapasulia.
acheni kudanganyana watanzania.
wengine naona wameamua kuwa wavunja ma godown.GAIN AT ALL COST.
Duh, yaani imebidi niisome hii mada mara 3 ndo nijue inaeleza nini. Kiswahili kigumu jamani. Kuna mtu anataka uraia wa Mwanza thru mimi? kuna vijisenti kule oh oh!
ReplyDeleteNimejaribu kumscreen huyu mtu anayejiita wa Kusini nikashindwa kumweka kwenye class inayomfaa. Je huyu awekwe kwenye ushamba, umasikini wa mawazo, fikra potofu,ukabila, wivu,uchochezi,ukimbizi wa umande,au alilala akaota ndoto na kuamua kuiposti kwenye globu hii. Tafadhali toa mada zenye maana na zenye kuleta maendeleo kwa jamii ya Tanzania.Haya mambo ya kuwafuatafuta WACHAGA kila siku oh wachaga wana majumba yanayolala mijusi, oh ni mafisadi, oh ni maCEO vyote hivyo vina maana gani. Kama mtu ni CEO ina maana ameenda shule, na wewe nenda shule, siyo unamwambia mtu aachie ngazi, je akiachia utaweza kupanda ngazi? Na hayo majumba unayoyasema yanalala mijusi kwa taarifa yako ni "vacation homes". Mtu anapakulala kila siku na anapakulala wakati wa mapumziko. Nakukumbusha usemi "MTU KWAO NA MCHEZA KWAO HUTUZWA" Wewe inaelekea uliambiwa tu "KWENU KUSINI". Nenda ukaone kuna rangi gani? Na achana na Wachaga Kabisa. Mbona ndugu zetu Wamasai hawana nyumba na huwasemi. Acha wivu fanya kazi kwa bidii na acha kuchimba desturi za watu.
ReplyDeleteMDAU
MS MINJA- BOSTON
Michuzi hana kosa kuweka ujumbe huu.
ReplyDeletehapa kila mtu ana haki sio kama Jamii Forums ambako kina mwanakijiji ambao wanatumia majina zaidi ya kumi na huyo huyo akiziwa hoja anafuta kwani yeye ni moderator wa Jamii Forum kwa jina la painkiller.
heshima ya jamii forum au jambo imeondoka kwa vile nafasi wanapewa chadema tu, vyama vingine havipewi nafasi, unafiki wa Mwanakijiji ni huu kule kwao jamii forum ambalo linatumika kama tawi la chadema kuwaziba midomo wanaokwenda kinyume na agenda yao ya chadema na uchagga.
Bahati mbaya MBOWE kamnunua mwanakijiji kwa kumfungulia klhnews ili aipromote Chadema. na mwanakijiji alinunuliwa na wachagga baada ya kuandika makala ya kutetea ukabila wa kichagga TRA kwa kusema kuwa wachagga ni kabila lililosoma ndio maana wana ongoza TRA.
na mjadala huu wa kusema kuwa wachagga waondoke kwenye nafasi walizopo alisema kwenye hiyo thread ya ukabila TRA ambayo bado iko hadi sasa JAMII FORUMS.
Mwanakijiji ni mchochezi na mgombanishi amewafukuza watu kama Majid Mjengwa wasiweke matangazo yao JF ili wawe wao tu na kila kitila mkumbo ambaye hutumia nickname kama ASHA ABDALA kwenye jambo Forums.
wanachokifanya ni kuomba huruma za wananchi kuwa wachagga hawatendewi haki na waTanzania hasa wakimbeza Chacha Wangwe.
ugomvi wa Mwanakijiji na Wangwe ni pale aliposema kuwa ruzuku ya chadema inatumika ovyo makao makuu na pesa nyingine ni hizi wanaopewa kina Mwanakijiji na Kitila Mkumbo ili kumjenga Mbowe na Chadema kwenye mitandao.
Michuzi si dikteta anatuwekea hata utumbo kama huu wa Mwanakijiji ili tuchambue wenyewe pumba ni zipi na mchele upi, tumeona Pumba za Mwanakijiji hapa.
Kuna mdau amenifurahisha kupita wote, na mimi narudia wimbo wake; WAMEINAMA, WAMEINUKA WANAONA HAYA HAO, WALIOKIMBIA UMANDE WAMEINAMA WAMEINUKA WANALALAMIKA USIKU NA MCHANA HAO, nitaongezea na Saida Karoli chorus MWENYE WIVU AJINYONGE. Hey ukiona mwenzio anakimbia na wewe kimbia acha kujivuta na kutegemea atakusubiri! Mwenye akili atafsiri hili.
ReplyDeleteAgain, VIVA THE LAND OF KILIMANJARO
Duuh HUYU SHIRIMA A.K.A MWANAKIJIJI ANALETA MGAWANYIKO WA KIKABILA NA KIDINI NA KILA MAKALA YAKE LAZIMA AMSHAMBULIE JK.ATANGAZE TU CHADEMA BILA KUMTUKANA JK.
ReplyDeleteSitaki kuwa mzushi, mchonganishi au kuwa na mdomo mchafu ila naona hizi ni pumba tu..
ReplyDeleteHawa ni watu wanakaa na kujenga hoja bila misingi yoyote. Huyu mheshimiwa aliyeandika hii kitu sijui kama ana data za maana kusupoti madai yake, amechukulia lumazi kuwa ukweli.
Mimi nafikiri anatakiwa kurudi shule, afanye homu weke zote vizuri arafu ajue nini maana kufikiria kabla ya kuongea
Ok, mimi ni mchagga wa kuzaliwa na kukulia uchaggani ila hii kitu sio kweli na uzushi ulioletwa na watu kama mwandishi, ambao kwa akili zao mbovu na zilizopotoka wanadhani wao ni supiria kuliko wengine.
ReplyDeleteKama mchagga nikiwa nje sijawahi kuwa hisia kuwa kwa vile mimi ni mchagga, basi nina maana zaidi..ujinga mtupu. Marafiki wangu wote wa karibu sio wachagga, wengine siwajui hata makabila
leo unaanza umimi.. u should be ashamed of urself
Huyu jamaa kwa mtazamo wa harakaharaka sio mchagga ila inaonekana baadhi ya mabosi wake ni wachagga ndo maana analalamika kwani huenda anataka mojawapo ya cheo ofisini kwake ambacho kimeshikiliwa na mchagga ndo maana anapiga kelele kwani inawezekana elimu ni ndogo na ameshindwa kupata hicho cheo ndo maana anaona bora aanze kubwabwaja hovyo. Ushauri wangu wa bure kwa huyu jamaa anaejiita Shirima ni BORA AACHE KUOGOPA UMANDE AENDE SHULE ILI NA YEYE APATE CHEO KAMA HAO WACHAGGA ANAOWAPIGIA KELELE.
ReplyDeleteNaomba niwape vielelezo ya kuwa Wachaga si Wakabila kuna vielezo vingi vikiwemo kama Mama Meghji kuweza kuwa Mbunge wa Moshi Mjini tena Mwanamke ebu nitoleeni mfano wa Mbunge wa Kabila lingine aliyewahi pata kushinda jimbo la sehemu nyingine asipo kuwa anatokea kabila hilo au tuangalie sehemu kama Arusha mjini Makongoro alishinda lile jimbo na hii iliwezekana kutokana na support ya hao mnaowaita wabinafsi yaani wachaga.
ReplyDeleteArusha Mjini, kijeografia ina Wachagga wengi au makabila yanayoshahabiana na Wachagga kama Wamasai, Wameru na Waarusha. Kwa mtu ambaye anatokea nje ya makabila hayo na kuweza kushinda jimbo tena akiwa upinzani sijui kama kuna vichembe vya ukabila. Nipeni mfano wa Mbunge anayetoka jimbo mbali na sehemu husika aliyeweza shinda jimbo? tuchukulie majimbo yenye makabila makubwa na yaliyosoma kama Wasukuma, Wahaya au Wanyakyusa. nathani jibu hamna!
Pia wachagga haohao wanawake wao huolewa na makabila mbalimbali. wangekuwa wakabila wasingeruhusu makabila mengine kuwaoa ikisemekana wanawake wao wana bidii na wameenda shule. hawana tatizo na huwa hawadai mahari kwa vile wameenda shule na hawahitaji kufanya biashara kwenye mambo ya ndoa. "Hawauzi utu ila wanatunza utu".
Ndo maana wanawake haohao huwa na nguvu kwenye ndoa na hawanyanyasiki kirahisi wanajua sheria kwa vile wazazi wao waliwasomesha tangu enzi
Mdau
Sikujuwa
Jamani Wachagga wenzangu.....kuna chasaka hapa anataka "Paper la Kichagga" through mimi. Je, nimpatie?? Chasaka huyu wa huko Kusini...! Ninahitaji ushauri wenu wana kwetu.
ReplyDeleteManka.
Wadau eeee!!!!!!!!!!! na huyo the so calling himself/herself P.Shirim hebu Waacheni Wachagga wakae. I like these Chagga peeps to death. My favorite Kabila in Tanzania. Now kumbukeni kwamba hili kabila lina mengi sana ya kuigwa ili kuleta maendeleo katika jamii na katika nchi nzima kwa ujumla. Sasa basi msifananishe kabisa kabisa kabisa Wachagga na makabila mengine. Kufanya hivyo ni kama kufananisha "KIFO NA USINGIZI"....now u dig it!!
ReplyDeletejuhudi za kina mama wachagga kama za mama ANNA MKAPA kila biashara yupo ziwe za ufisadi au halali hana mwiko.
ReplyDeletehuyu Mwanakijiji inabidi atengwe nimesoma makala yake ya udini CCM imejaa uchochezi na chuki za ajabu.
hata kama MBOWE anamlipa lakini atizame maslahi ya Taifa kuliko tumbo lake. ndio maana kila jumatano anatoa makala ya kukashifu serikali kupitia gazeti la Mbowe Tanzania Daima.
yeye yuko Marekani anataka sisi tupigane wakati yeye atakuwa sehemu salama, waTanzania kuweni makini na watu hawa kina Mtikila wa baadae.
Mwanakijiji acha kuvuruga amani ya nchi yetu kumbe ndio maana unatumia jina bandia kama unachokisema ni halali na unakiamini kwanini unaficha jina lako?
ReplyDeletekweli huu ni wakati wa wabunge na viongozi mbali mbali kukataa kuhojiana nae kwani unahojiana na mtu ambaye humjui na hujui anuani ya hiyo anayodai kuwa ni REDIO.
sasa kama likitokea jambo lolote huwezi kumshitaki Mwanakijiji kwani hujui utampata wapi.
na kwanini mada zake ni za chuki tu na serikali na kumsifu MBOWE?
Mwanakijiji huwezi kujenga chama kwa kutumia chuki na uchochezi kama huu wa kuja na jina la Shrima kwani jina lako na menngine ambayo tumeambiwa unayatumia huko jamii forums hayatoshi? hizi ni siasa za kufirisika kutumia udini na ukabila kama huu wa Shirima(Mwanakijiji).
naungana na Ngapulila.
ReplyDeletekule www.raiamwema.co.tz gazeti la ulimwengu anaandika kwa jila lula Mwananzela ni huyo huyo Mwanakijiji,sijui kwanini anatumia majina ya bandia kila mahala.anataka kuvuruga amani aliyotuachia Mwalimu Nyerere?
mdau pius wa Uk.
tuzungumze mambo ya maana, haya naona hayana msingi.
ReplyDeletekuna vyombo maalum ambavyo vinaweza kuangalia kama ajira zinatolewa kiupendeleo, sisi tutaongea unazi. kama tuna wasiwasi na TRA, basi tuwaite wataalamu watazame je kweli?
hata huo udini unaosemwa ccm , nimetazama majina naona wazanzibari ni wengi na hvyo basichance kubwa watakuwa waislam, maana zanzibar 99% ni waislam.
wakristo ni asilimia moja.
waislam wa bara ni saba au nane hivi,
tunarudi palepale watanzania bado kielimu tupo nyuma.maana hata hoja iliyolewa haina msingi , aliyetoa hoja ya udini hakufanya upembuzi wa kina,
JAMANI CHAMBUAENI MAMBO KAMA WATU WALIOENDA SHULE, HAPA SHIRIMA KAANDIKI HII KITU KIMAFUMBO, ANACHOTAKA KUONYESHA HAPA NI KUWA WACHAGGA WANAPIGWA VITA WANAZINGIZIWA VITU AMBAVYO HAWANAVYO, NA HIYO SI KWELI LET US BE HONEST, FRANK AND TRUTHFUL, HAWA JAMAA NI WATU WANAOJIITA WANATAFUTA MAENDELEO KWA BIDII NA WAMESOMA SANA,HIYO NOTION NI YA ZAMANI SANA SIKU HIZI WATU WOTE TANZANIA WAMESOMA SANA, HAWA WATU WALIONEKANA KUSOMA SANA ZAMANI KWA VILE SHULE NYINGI ZILIJENGWA KILIMANJARO NA KWA NINI ILIKUWA HIVYO NI KWA SABABU WAZIRI WA KWANZA WA ELIMU ALIKUWA MCHAGGA SO ALIPELEKA SHULE ZOTE KILIMANJARO KAMA WALE WA ZAMANI WATAKUMBUKA ALIKUWA ANAITWA ELIFOO HATA VYUO VYOTE ALIPELEKA MOSHI, CHUP CHA POLISI KILIJENGWA MOSHI KWA VILE MKUU WA POLISI WA MWANZO NA WAQZIRI WA MAMBO YA NDANI WALIKUWA WACHAGGA HIVYO WALIKUWA WANA RECRUIT WACHAGGA SANA NI WATU WENYE UKABILA, WIVU HAWATAKA WATU WENGINE WAPATE, KWANZA SIKU HIZI HAWASOMI KAMA MARA TU BAADA YA UHURU KWA VILE WENGI SASA WANAPENDA BIASHARA BILA ELIMU WAPO WENGI TANZANIA YOTE WAKIFANYA PETTY BUSINESSES ELIMU KWAO SI MALI TENA KWA VILE SASA KILA MTU ANASOMA, NENDA HATA HAPO UDSM MNAPOPAEMA N UCHAGGA TUPU KUPATA KAZI KAMA SI MCHAGGA HASA KWENYE IDARA INAYOONGOZWA NA MCHAGGA SAHAU, TRA YOU NAME IT, NI WAO TU. NCHI YOYOTE ILE YENYE USAWA WA BINADAMU KUMPATIA MTU KAZI HUWA HAWAANGALI ELIMU TU KUNA KITU KINAITA INCLUSSION, NI LAZIMA JAMII YOTE YA NCHI HUSIKA IWE PROPOTIONALLY REPRESENTED KWENYE MASWALA YA NCHI OTHERWISE KUNATOKEA FUJO KAMA HIZO ZA WATU KUWAHISI VIBAYA WACHAGGA, KWENYE JAMII HUWA HATUANGALII AKILI TU NA USOMI HUWA TUNAANGALI PIA USHIRIKISHWAJI EVENLY. KAZI NYINGI HUWA ZINAHITAJI KUELEKEZWA NAMNA YA KUZIFANYA SI ELIMU TU KWANI MTU HATA WA DARASA LA SABA ANAWEZA KUFANYA KAZI TRA AU BENKI AKIELEKEZWA IPASAVYO, KWANI HATA HAO WENYE DEGREE WAKIENDA TRA SI KWAMBA DAY ONE WATAANZA KUFANYA KAZI NI HADI WAELEKEZWE ILA ITAKUWA RAHISI KWAKE KWA VILE AMESOMA ZAIDI KULIKO STD 7 THAT'S IT. KWA HIVYO BALANCING OF PEOPLE IN PUBLIC THINGS IS VERY MUCH VITAL, BIASHARA YAKO BINAFSI UNAEEZA KUBAGUA LAKINI SI ISSUE YA PUBLIC, WATU WALIOSOMA POLITICS, SOCIAL SCIENCE DEGREES WANAJUWA MAMBO HAYA YA JAMII NI NYETI SANA
ReplyDelete