nimebahatika pia kukutana na mdau wa moscow ambaye yupo nyumbani kwa likizo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 24, 2008

    Michuzi unatuabisha wazee wenzako mavazi gani hayo?Hasa kofia.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 24, 2008

    Michuzi kwa wadau bwana... lakini mbona picha imepigiwa kwenye magazini xreba....ahaaaaaa muchuzi ulikuwa moscow nini...????
    halafu mbona mdau mchovu hivyo urusi siku hizi tambarare bwana huko moscow watu wote wana endesha cadillac- escallade siyo mambo ya 90-e na kama ninavyo jua moscow maduka kama hayo ya mikate hayapo tena siku hizi ni G-market vyakula vyote viko packed.. huyu mdau anaweza kuwa anatoka NOVOI ULINGOI...Siyo Moscow..huo ni mji wa ma-billioners wale 105 wa kwenye Forbe..96 wanatoka moscow sasa angalia mambo yaliyoko hapo ni tatizo..
    Lakini safi angalau wadau wa urusi umewakumbuka maana wewe wadau wako ni U.S /England ...next time tuwekee wa Kiev..
    kazi njema..
    mdau wa karagwe.....

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 25, 2008

    weeww 10:39 box zito nini? habari hata hujasoma vizuri umekalia kukandia. Nani kakwambia Michuzi yupo Moscow? Soma kambla hujachemsha...Mmekalia negative to. Nenda nawewe bongo tukuone kwa blog ya mchuzi na uchovu wako...Kijiba cha roho...kitakuuua

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 25, 2008

    Afadhali tumepata mdau wa EAST. Manake siku zote wadau ni London,New York,H-Town,Italy(kwa Chibiriti)etc. Au ndio kusema huko EAST hakuna mitandao?

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 25, 2008

    Ano. 10:39 PM, inalekea huko Karagwe roho zenu ni...na vijiba ndio zenu ona unavyomkandia mwenzio na kuweka mbele ngozi nyeupe acha ushamba, acha wivu, acha kujiona, acha kuchana watu usiowajua ati kachoka ulitaka avae Tshirt yeye millionea. Watu dizaini yenu ndio mnarudisha nyuma maendeleo home
    Londoner

    ReplyDelete
  6. AnonymousJuly 26, 2008

    haya tena wabongo kwa kuosha vinywa hamjambo..karagwe ni poa wala hatuna noma maana watu wameenda shule siyo mambo ya kukaa kijiweni na kupiga udaku..
    kwa bahati mbaya au mzuri kwa wengine huyu jamaa mie namfahamu tangu bongo ni mchuvu tu sasa nashangaa yuko mtoni bado yale yale ya kibongo bongo... any way life style is matter of personal decision.
    Mtu wa Karagwe

    ReplyDelete
  7. AnonymousJuly 26, 2008

    vicent naaomba unitafute. prosper moscow

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...