Miongoni mwa mashuhuda wa mwanzo wa harakati za mwanzo kabisa za muziki wa bongo flava ni aliyewahi kuwa DJ maarufu nchini Tanzania kwa jina Mike Pesambili Mhagama(pichani).
Mike sio tu miongoni mwa mashuhuda wa mwanzo bali pia ni miongoni mwa watu wachache walioamini katika muziki wa kizazi kipya tokea mwanzo.Kumbuka hizo ni zile enzi ambapo muziki huo ulikuwa ukichukuliwa kama "uhuni" tu na sio aina mpya ya muziki au burudani.
Ni watu wachache sana walioweza kutabiri hatua ambazo muziki huo ungepiga miaka kumi au kumi na tano baadaye. Kwa hayo na mengine mengi nenda katika ule uwanja wa maselebriti wa www.bongocelebrity.com
Big Mike tell 'em wapi hii kitu imetoka sio kuingia studio na kutoka na kuanza kupiga watu ovyo
ReplyDeleteNdio hiyo Picha yake rasmi?
ReplyDeleteHuku kwetu kuna vibanda unavyojipiga picha mwenyewe..vinapatikana kwenye Malls..unatumbukiza tu vijisenti vyako na inakuchukua picha....ndo maana huwezi kujua kama ni Mweusi, wa Bluu au Kijani...Ila sidhani kama ndo picha yake rasmi....!! Muhimu tu ni kuwa katoa historia ya Bongo Flava..!! You Go Mike...!! Mdau USA.
ReplyDeleteAminia, kijana makini ndani ya "Dj Show".
ReplyDelete