nipo neshno na sasa ni saa nane kasoro dakika ishirini za bongo na yanga bado hawajaingia uwanjani. simba wameingia toka saa saba na wameshapiga jalamba.
kama redio mbao zilivyosema kwamba timu moja itaingia mitini katika kutafuta mshindi wa tatu wa kombe la kagame, hali hadi sasa inaonesha ni hivyo.
vingozi wa mpira wanaonekana wakihaha na viselula vyao, lakini kila mara simu za yanga zinasema iz noti richebo....
tusubiri tuone. picha zaja punde

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 27, 2008

    Watafika hao,usiwe na wacwac michuzi!!Tunaomba updates kadri utakavyoweza

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 27, 2008

    simba wamepewa point tatu bao 3...yanga bado yeboyebo....hawajaonekana uwanjani..habari ndiyo hiyo....yanga bado mteja kwa simba.!simba inatisha.!

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 27, 2008

    Wangeingiza timu waone nyau hao.Walifikiri kucheza kwenye magazeti ndio mpira.Leo wangeona cha moto.Na wachezaji waliowasjili kutoka Simba leo ndio wangefukuzwa wote.Wakubwa jinga hayana hata aibu.

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 27, 2008

    WANASTAHILI ADHABU KUBWA SAMBAMBA NA FAINI,,AIBU KWA TAIFA LETU, DUNIA YA LEO TIMU INAKIMBIA WATU WASHALIPA VIINGILIO,,AMA KWELI KWETU SOKA BADO,,ISHUSHWE DARAJA KAMA JUVE NDIO KUTAKUWA NA HESHIMA

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 27, 2008

    Migongo wazi haooooo wametoka baruti.Leo kidogo wamuue Mpangala aliyekuwa anasisitiza waingize timu.Muziki wa Mnyama umewatisha leo yangekuwa mauaji ya kimbari.Bakora zingetembea jangwani mpaka asubuhi.

    ReplyDelete
  6. AnonymousJuly 27, 2008

    Hi,
    Ooo yeah mnyama simba unatisha...Umewadhiilishia wazi kuwa mpira si usajiri wa kufuri tu bali malengo ndiyo great deal.....!!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...