MAMBO YOTE SIKU YA MKESHA WA NANE NANE ALHAMISI YATAKUWA MAISHA CLUB AMBAPO BENDI MPYA YA VIBRATION SOUND CHINI YA MKONGWE ELYSON ANGAI ITAZINDULIWA RASMI KUIRITHI TWANGA CHIPOLOPOLO. KAZI KWENU WAPENZI WA TWANGA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. michuzi, tupe kikosi kizima basi. Mimi nawashauri JOJO na MCD wahamishiwe vibration.

    ReplyDelete
  2. Michuzi heshima yako mweshimiwa mkuu wa wilaya ya nani!!
    Kama nakumbuka vizuri mweshimiwa wakati unabadili jina la blog yako ulituahidi mambo kibao kama clips za nguvu na nyimbo za kumwaga ila cha ajabu toka ubadili jina naoana mambo ni kama yaleyale ya zamani au na wewe kitendo cha kuwa mkuu wa wilaya kinakufanya useme kile ambacho hutokifanya au ndiyo siasa mweshimiwa sana?
    Naomba usiniweke kapauni tupe jibu tafadhali kuu

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...