Hi Bwana Michuzi,
Habari za siku mzee?

Yule DJ mzungu mswahili kutoka chini ya mbuyu Bumbwini kijijini anafanya marogo zake tena kwenye
BOMBA BEACH PARTY, PAJE BEACH,
EAST COAST ZANZIBAR
jumamosi 9 augusti,
saa 11 jioni mpaka asubuhi....
beach vibes, B-B-Q nyama choma, music from all around Africa and the world.
Hakuna kulala,
tena kiingilio bureeee!
Mdau Y
Stone Town

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...