JK akiangalia ng'ombe aliyezalishwa kwa chupa(Artificial insermination)wakati alipotembelea baadhi ya mabanda katika viwanja vya Nzuguni katika manispaa ya Dodoma, leo mchana wakati wa kilele cha Sherehe za wakulima Nanenane. JK aliwasili mkoani Dodoma leo akitokea mkoani Iringa ambapo alifanya ziara ya kikazi ya siku nane
JK akiangalia ng'ombe aliyezalishwa kwa chupa(Artificial insermination)wakati alipotembelea baadhi ya mabanda katika viwanja vya Nzuguni katika manispaa ya Dodoma, leo mchana wakati wa kilele cha Sherehe za wakulima Nanenane. JK aliwasili mkoani Dodoma leo akitokea mkoani Iringa ambapo alifanya ziara ya kikazi ya siku nane


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...