Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano Mhe. Muhammed Seif Khatib akipata Maelezo ya Mikakati Ya Mazingira kwa Injinia Onespholy Kamukuruwakati wa Maonyesho ya Nane Nane yanayoendelea Mjini Dodoma.

Waziri wa Nchi ofisi ya Makamu wa Rais[Muungano] Mhe. Muhammed Seif Khatib akionyeshwa Maazeti ya zamani na Ofisa ofisi ya Makamu wa Rais Bw Willam Gama wakati alipotembelea Kwenye Maonyesho ya Nane Nane yanayofanyika Mkowani Dodoma kwa mujibu wa mdau Ali Meja ambaye anaendelea kutuporomoshesa mapicha haya.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...