Salaam !

Unakaribishwa kwenye semina ya neno la Mungu itakayongozwa na watumishi wa Mungu kutoka Tanzania

Ndugu Christopher & Diana Mwakasege.


Tafadhali sana fanya uwezalo na tunakuombea kwa Mungu ili usikose semina hii ya kipekee na ya baraka kwetu sote !


Siku: September 12-14, 2008

Wapi: DALLAS,TEXAS,

Marriott Residence Inn,

7642 LBJ FreeWay,

Dallas TX 75251.


Malazi na chakula vitatolewa bure kwa wale wote wanaotoka nje ya mji wa Dallas.Tafuta tu namna ya kufika ! Nafasi za kulala hotel mpaka sasa zimebakia chache sana kwa hivyo unaombwa kujiandikisha haraka kabla ya August 23 2008 ili upate chumba chako hapo Marriott hotel ...!


Unaweza kujiandikisha kwa kuandika email kupitia email adress hii :- KULA.MANA@YAHOO.COM


Au kwa kupiga simu zifuatazo:-

214-440-9674

469-233-6627

214-554-7381

682-552-6402

651-334-0163

678-982-2113

404-935-1615

312-823-5878

214-505-8514

978-726-2227

402-770-6376.


Njoo ukutane na nguvu za Mungu katika Semina hii ambayo inaenda kubadilisha maisha ya wengi....!! Mtaarifu na mwingine juu ya ujumbe huu...!


Kwa maelezo zaidi juu ya huduma ya Watumishi hawa wa Mungu unaweza kutembelea WWW.MWAKASEGE.ORG

KARIBU-SANA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. MUHESHIMIWA MTUMISHI WA MUNGU NAFIKIRI KWA KIZAZI CHA SASA HASA KWA NCHI ZINAZOSHINIKIZWA KUWA MASIKINI KAMA TANZANIA UNGEZIHUBIRIA KUHUSU UWEZO WA MUNGU KWAO KUWAFANYA WAWE WAVUMBUZI WA MBINU ZA KIJASIRIAMALI MAANA UWEZO WAO NDIO UTALIJENGA KANISA NA LIWE KUBWA DUNIANI.HIZI MBINU ZIKO WAZI NA MUNGU HAMNYIMI MTU ILA KUNA MAZINGIRA YA KUZIFUNGUUA. KWA MFANO MUNGU ANAKUANGALIA JEE UNAPEND MWINGINE APATE YAANI WIN /WIN WEWE UNASEMA HAPANA UNAKUWA WIN /LOSE. YAMA MUNGU AKIANGALIA MIZANIA YA MOYO WAKO AKAKUTA WEWE UNAPENDA WENGINE WAPATE PIA ANAKUONGEZEA MARA DUFU NA MARA ZOTE. MUNGU ANAKUKAGUA ZAIDI PALE UNAPOONYESHA UPENDO KWA VIUMBE WENGINE ALIOWAUMBA. UWA HANA KIPIMO KINGENE CHEPESI SISI KUKIJUA ZAIDI YA HICHO. KWA HIYO TUWATENDEE JINSI AMBAVYO NA SISI TWAPENDA KUTENDEWA.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...