Hi Wadau wa globu ya jamii,

Mwanaharakati, msanii na mwanamuziki wa ki-Tanzania, Ras Nas au Nasibu Mwanukuzi amewasha moto wa kiutu-uzima kwenye fani ya muziki Norway kwa kuwa msanii mwa-Africa wa kwanza nchini humo kupata nyota tano kwenye marudio ya albamu yake “Dar-es-Salaam” toka gazeti kubwa la Dagsavisen.

Hii inadhibitisha kwamba wabongo nao tupo!

Soma zaidi kwenye blog ya Watanzania Oslo hapa http://watanzaniaoslo.blogspot.com/


Ukitaka kuangalia shoo live ya Ras Nas unaweza kubonyeza Youtube: http://www.youtube.com/user/rasnas55

(hapa kuna video tatu: 1.River Nile 2. Dar-es-Salaam na 3. Guantanamo) Asanteni,

Kongoi Productions

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...