shaggy akisalimiana na john legend mara tu alipowasili hoteli ya kilimanjaro kempinski jioni hii. john legend, ambaye kaingia kinyemela bongo kwa mapumziko, naye anabana hapo hapo hotelini. na ni wachache tuliomstukia kuwa yeye ni nani.
ruge mutahaba akiwa na john legend
nanihii akiwa na john legend. huyu jamaa ni noma.
cheki mambo yake kwa kubofya hapa na http://www.johnlegend.com/





Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 15 mpaka sasa

  1. Matunda ya Leon Sullivan Summit

    ReplyDelete
  2. jamaa huyu huwa nampenda sana mimi ni mmoja ya washabiki wake

    mchuzi msalimie

    ReplyDelete
  3. jamaa huyu huwa nampenda sana mimi ni mmoja ya washabiki wake

    mchuzi msalimie

    ReplyDelete
  4. Hv dar kuna baridi kihivyo? mbona hao majamaa wamevaa majacket?

    ReplyDelete
  5. Ruge hiyo inatiwa “coincidence”

    ReplyDelete
  6. wala sio Sullivan Summit, the dude has been coming to Tz before that. In one of his songs he shot the video in Zanzibar. Sema ndio hivyo watu hawashtukii. Wanapenda hiyo kwa sababu wana enjoy vacation bila usumbufu wa mapaparazi na washabiki na autographs.

    ReplyDelete
  7. Michuzi wee huyo jamaa ni mmarekani huku usa wanaume hatuwekeani mikonozzzz nomaaaa.

    ReplyDelete
  8. Mbona John Legend anakuja bongo mara nyingi tuu!!! hamuangali TV!! hata kwenye CNN huwa wanamuonyesha, huyu jamaa ana run NGO flani ambayo inatoa misaada kwa watoto yatima huko mikoani, tena huwa anakwenda huko vijijini, si Dar tu, hapo yupo transit tu,

    ReplyDelete
  9. Huyu michuzi anapenda mikonosss,kuna siku watakubadilikia!!!wakushike chini ya kiuno..shauri lako michuzi....halafu michuzi usilalamike..sawa?wakikushika

    ReplyDelete
  10. john legend mbona tz anakuja kwa sana tu.
    hata nyimbo yake show me shooting yake ni zanzibar....kuanzia vijijini hadi mjini

    ReplyDelete
  11. hiyo mikonosss,wewe usijali jamaa,habadilikiwi mtu hapo hizo ni anga zake michuzi wao wenyewe wana jua kua ndio mjanjawao ndani ya bongo,wasije waka shikwa wao tu

    ReplyDelete
  12. Kuhusu mikono, sasa kushikwa na kushika ni kupenda tu!! akaaa

    ReplyDelete
  13. oya mnapenda ya marekani eh wenzenu wanapenda ya africa sasa. akiwa africa lazima apendelee utamadunia tofauti ya shaggy na john legend. John Legend anakuja kwa misaada ndomana yuko kimya kimya kashafanya video zanzibar ya kuhusu dogo aliezamia kupanda ndege kwenye tairi la ndege kafa angani huko west africa story ya kweli kaifanyia video zanzibar. yupo tanzania sana kwa misaada hata shaggy show hafanyi kwa pesa sana pesa zinaenda kwa waandaaji sababu wanawaomba ili kusaidia yatima sasa siji kama pesa zinafika au lah haya michuzi ibane comment basi.

    ReplyDelete
  14. hakuja na mai wifu wake?

    ReplyDelete
  15. nilidhani ni mimi tu nilie-notice juu ya jamaa "mchuzi"kushika watu mabega,NO DISRESPECT MR "mchuzi" that is NO-NO wanaume hatushikani under any circumstances.Una bahati ujakutana na vichaa bado,najua unapenda sana kupiga picha na watu mashuhuri hakuna tatizo kwa hili lakini lazma ujifunze kidogo culture za watu.NO hugging,No long hand shaking just a grip.wakina mama pia,hasa kwenye puplic.hands-off maaan.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...