wadau wakiwa kwenye beach party iliyopita huko cardiff

Hello Everyone!
We just wanted to say thank you for attending our previous event BEACH PARTY THEME NIGHT,
we really appreciate your support.

We hope that you had a fantastic time and that you will continue to support Swahili Sound events.
Take a look at the pictures on our website
http://photos.swahilisound.com/thumbnails.php?album=10.
Please do comment, leave feed back or rate the photos!!!
And now for the news you've all been waiting for....

our next BIG PARTY!!!!

We hope to see you at our LIMBO DANCE PARTY NIGHT on the 24th Aug Sun Bank Holiday weekend in Cardiff(Club Inncognito).
Playing African music all night long. Free entry as usual and be sure to be wearing your dancing gear!!
Open from 8 till 2 in the morning.
Satisfaction Guaranteed!
Swahili Sound, a company specialising in entertaining -Specialist in African Music

we are a mobile dj so available for hire anywhere in the uk.

thank you

swahili sound

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 11 mpaka sasa

  1. Mimi naomba kuuliza tafsiri au maana halisi ya neno "Beach" party. mimi nilidhani ni party inayofanyika Beach, au nimekosea? Maana kila nikiangalia hizi picha hata kwenye swahili sound website yao sioni kama kuna dalili ya beach au japo hata swimming pool angalau labda ningeridhika. Sijui labda nimepatwa na makeng'eza.

    Jamani lugha za watu hizo...Msaada kwenye tutaz.

    ReplyDelete
  2. Duh...hayo ndio mambo kule ulaya au siyo?Chamlevi kweli huliwa na mgema,kwani vijisenti mlivyokujisanyia baada ya kuosha vyombo na kubeba maboksi...ndio zinajiishia kwa wauza kimpumu na kangaza za kizungu!!!
    Ahh...bora kwetu at least ninakufikia kule msikiti wa mmanyema!

    ReplyDelete
  3. Labda hao swahili sound walimaanisha maji ya bomba la chooni au bafu ndio wakadhani ni beach sioni dalili za bahari wala swimming pool hapo. Jitahidini kuweka vitu na maana halisi

    ReplyDelete
  4. Kweli waungwana,haya ni mazungumzo baada ya habari,beach party hata beach haionekani,wengine ndani ya suti na majaketi ya baridi na wala hakuna vijivazi vya ufukweni,hoyaaa hapa bongo tuko mbele zaidi yenu, tunaomba mrejee nyumbani tuu au nyinyi ni wale kijijini sitimbi moja kwa moja mtoni hata mjini dar hamjafika????? mchapakazi.

    ReplyDelete
  5. Mimi nilikuwa nataka kuuliza samahani lkn kama nitakuwa nimekosea, HAWA NI WABONGO AU? Mbona wakowako tu hakuna ule ubongo kabisa kwenye picha zao.
    Halafu nyie wachangiaji huko juu msiwe wabishi tu jamaa amesema ni Beach Party THEME sijui hili neno THEME tunalielewaje na kwenye vijipicha vyao pale umeona wameweka picha inayoonyesha walipamba kwa vumbi la bahari na toys, sasa unachoouliza nini, Ufahamu wako hapa tunamashaka nao, Mtazamo tu lkn

    ReplyDelete
  6. Hawa jamaa wachovu kweli na ukiangalia hayo maua waliovaa utafikiri wametoka mererani kuchimba Tanzanite,mmbongo ni mmbongo tu hata umpeleke wapi tabia ni zilezile.....haya bwana maboksi mema!!

    ReplyDelete
  7. Mmmmmmm! hawa ni wa-BONGO kweli weusi kama MKAA utazani wanatoka GAMBIA, au Majaluo nini ya Mara, wachangiaji hapo juu wote wako sawa, vijipesa wanavyopata kwa kuogesha wazee badala ya kuvileta BONGO kununua angalau kijishamba basi wanafanya vijipai eti wapige picha walutelee, sisi hatuli picha, maisha ni mafupi sana kesho tu mtakuwa wazee, mtarudi chini ya mwambe, shauri zenu, hayo mambo ya wenyeji kwa vile huko ni kwao hawana kwa kwenda.

    ReplyDelete
  8. Kama wa haiti vile...lol...hawa jirani zetu wameni shavu kidogo msiwe hivyo jamani. Yaani hamuwezi kujua kuwa shizi sura za wapi?????

    ReplyDelete
  9. kabla hata hujaangalia picha ungetakiwa kujua huyu ni mtu wa wapi kaweka hilo tangazo.

    Brother/sister zetu hasa hawa wanaoandaa party wakishaishi majuu wanakuaga wanajidai kuandika ung'eng'e wa kuiga mabitoz na inakua badala ya kuleta baana inakua utumbo. Lakini hawa ingawaje ni tangazo la party lakini linaeleweka

    ReplyDelete
  10. washkaji mbona mnaponda sana, mtu akiwa majuu akianza kubailika mnaanza ohh jamaa siku hizi anajidai, mapozi kibao. na haojamaa wanaonekana kuwa na uhalisi wa kibongo jamaa tena wanaponda eti mbona weusi, hawajabadilika japo wapo majuu.. acheni hizo. waacheni kama walivyo kama hamna cha maana cha kuchangia. Mimi naona wapo poa tu nawanatuwakilisaha vyema tu pande hiyo walipo

    ReplyDelete
  11. Aise Michuzi tunakushukuru sana kwa kuweka mambo yetu kwenye blog yako.asante sana. wabongo tuungane tusitengane.shukran michuzi.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...