JK akimshukuru Mkuu wa Vodacom Foundation Mwamvita Makamba baada ya kupokea mabati na kukabidhiwa hundi ya shilingi Milioni 30 kama mchango wa Vodacom Tanzania kuchangia ujenzi wa mabweni wa wasichana katika Kijiji cha Isimani Iringa vijijini. kulia ni Mbunge wa Isimani na pia mkuu wa mkoa wa Dodoma Mh. William Lukuvi kushoto na shoto ni mdau Mwakifulefule kutoka Vodacom

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. Huyu dada anapata overexposure. Tutamchoka sasa hivi.

    ReplyDelete
  2. we anonymous una maana gani dada anapata over exposure? Yeye ni communication manager, exposure is part the the job description. Sasa wewe unataka uwe anajificha??? Au asionekane? Halafu nini eti utamchoka?? WTF? Unaelewa kitu chochote kuhusu marketing communications wewe? Au kwa vile ni mtoto wa Makamba ndo macho yanakuvimba hivyo?

    ReplyDelete
  3. wenye wao watakusikia...ni wakali hao! lol

    ReplyDelete
  4. Haya mambo bwana. Okay, bwana, endeleeni, kila la kheri.

    ReplyDelete
  5. HII PICHA INAONEKANA LUKUVI WALA HAUSIKI HAPO, ANAJILAZIMISHA TU KUWEPO KWA VILE NI MKOA WAKE LAKINI JK WALA HAONYESHI KAMA ANA MAPANGO NAE,

    ReplyDelete
  6. Overexposure ni overexposure tu. Haiitaji more definition. Marketeers wa nchi zilizoendelea wanafahamu madhara ya overexposure. Kila siku unasikia, unawaona wakati vitu vingine ni very trivia. Wangewaachia watu wengine wafanye. Do grand, be grand not trivia stuff. Hata mimi huo msaada naweza ku utoa. What is 30m for Vodacom? Halafu, there are more people in communication than just the manager. Please. Yatakuja ya Britney Spears - total meltdown.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...