NDG MICHUZI,
MIMI NI MDAU NINAYEISHI SWEDEN NAPENDA KUTUMA PICHA ZA BONGO FEST EVENTS ILIYOFANYIKA HUKO TAMPERE FINLAND HACHE KTK MWEZI WA SABA.
NILIFURAHISHWA SANA NA JITIHADA ZA WATANZANIA WANAOISHI FINLAND HASA MWANDAAJI WA MAONYESHO HAYO AMBAYO HUWA YAKIFANYIKA KILA MWAKA KTK MJI WA TAMPERE FINLAND.
PONGEZI ZIMFIKIE MWANDAAJI WA MAONYESHO HAYO NDG MENARD PAMOJA NA KAMATI YAKE<>
MDAU PETER


hongera kutuma picha.
ReplyDeletelakini libeneke lenyewe haliitwi "BONGO FEST EVENT".
Ili kuepuka kukang'anya mambo shuguli jina lake ni "FEST AFRIKA EVENT"
Karibu tena tampere bro hongera kwa kutuma mtundiko mzuri
hongera kaka!!bora wewe kidogo unajitahidi kuitangaza nchi kwa kuandaa matamasha kama hayo ubalikiwe.watu wengine wakifika ulaya wanajifanya sio watanzania kama wengi UK wanajifanya wajamaica na viingereza vyao vya darasa la tatu.
ReplyDeleteHuyo Tungaraza Mzushi, yeye na udijei wapi na wapi?
ReplyDelete