naam! tupo juu, hawa wadau wametuwekea google sio tu ya kimatumbi bali pia mahususi kwa bongo. tatizo linakuja kwenye ulaji. wao wana ile kitu inaitwa 'adsense' ambapo ukiomba wanakuwekea matangazo kwenye globu ama tovuti yako ambapo wadau wakibofya hesabu zinaingia kwenye akaunti yako utayowapa. ila hadi sasa globu ama tovuti zinazotumia lugha ya kiswahili hawaitambui kwa kile wanachodai kwamba lugha hiyo, ambayo wameanza kuitumia kwenye google, haimo kwenye orodha ya 'adsense'. hii imekaaje wadau?
naam! tupo juu, hawa wadau wametuwekea google sio tu ya kimatumbi bali pia mahususi kwa bongo. tatizo linakuja kwenye ulaji. wao wana ile kitu inaitwa 'adsense' ambapo ukiomba wanakuwekea matangazo kwenye globu ama tovuti yako ambapo wadau wakibofya hesabu zinaingia kwenye akaunti yako utayowapa. ila hadi sasa globu ama tovuti zinazotumia lugha ya kiswahili hawaitambui kwa kile wanachodai kwamba lugha hiyo, ambayo wameanza kuitumia kwenye google, haimo kwenye orodha ya 'adsense'. hii imekaaje wadau?

Taratibu nafikiri hata adsense inayotambua maneno ya kiswahi itakuja. Lakini kuna tovuti ngapi za kiswahili ambazo zinatangwazwa au zinajitangaza kupita google? kama hakuna ina maana google hawezi kupoteza muda na fedha zao kuweka adsense ya kiswahili.
ReplyDeleteHata hivyo mimi nalilia google map. Ni lini google map ya Tanzania itakuwepo inayoonyesha mitaa na address za makazi kama ilivyo kwa US?
Utaona google pia wametoa product nyingine ambayo inaitwa street view. Hii ni bomba ile mbaya hasa kwa watu wa real estates maana unapoafuta nyumba unaiona kabisa na unaweza kuzunguka mitaa ukiwa umekaa tu kwenye PC yako.
Wabongo bado tuna safari ndefu kuelekea kwenye technolojia.
Kwenye google map tatizo sio lao ni la nchi yetu kuwa na majina na vitu viinavyoeleweka
ReplyDeleteSA na Nigeria mbona ramani zao zipo?
Hivi unaweza kutumia GPS bongo....si utaishia baharini kweli.....na kama barabara ni hapo downtown too how about the suburbs of Dar es Salaam city usiende mazenze kwanaza....nenda kimara, sinza, masaki, msasani , mbezi etc hamna majina ya mitaa....mabarabara yapo tu no numbers or whatsoever.....
We mpaka leo mtu anatangaza jina la duka lake anasema liko karibu na mahali fulani...kwa nini asitoe tu number na jina la barabara na kama barabara yenyewe ni ndogo au haijulikani sana ndio amention at least libarabara likubwa linalojulikana....let say off of Pugu road.....kila siku karibu na rose garden, karibu na shoprite.....ulimwengu wa ssa utatuacha tu hivi hivi
nyie watu mnasikitisha sana,mmekalia kutoa kasoro badala ya kutafuta solution.sa tukianza kujidharau wenyewe wengine watufanyeje?
ReplyDeletetoeni maoni nini kifanyika ili kupata hizo post code ndani ya bongo nyinyi ndo taifa linawategemea kwani mko nje ya nchi tayari kwahiyo mjifunze vitu vipya mvilete nyumbani kwa ajili ya maendeleo.
ahsanteni