Home
Unlabelled
futari kwa makamu wa rais
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Pinda mkao gani huooo...?
ReplyDeleteWe annon 10:21pm..... Swali gani hilo unauliza na mbona hujauliza kwa nini Pinda hana kibandiko (a.k.a. baraghashia)? Huo mkao wa wenye vibandiko unahitaji mazoezi. Mimi mwenyewe huo mkao nishajaribu nikashindwa. Nadhani hata wadau wenzangu mtaniunga mguu na mkono.
ReplyDeleteanon wa sept, 29, 10:21 umenivunja mbavu zangu :) huo ndo mkao wa kukuna nazi ha haaaaaaa!!
ReplyDeleteulitaka akaaje? muhimu kukaa au kufuturu ndugu yangu, halafu uwe na heshima kidogo huyo pinda ni waziri mkuu usimwite weee kama mwanao! jifunze ustaarabu na ukirudia tena nitakufuatilia hadi nijue ulipo kisha nikakuhifadhi mahali ili uwe mstaarabu
ReplyDeleteWadau mi nina swali moja, hivi viongozi wa serikali wanavyoandaa futari huwa wanatumia hela zao za mfukoni au hela zetu sisi walipa kodi? Dr Shein last week alifuturisha Pemba na jana Kafuturisha DSM naomba kujua jamani.
ReplyDeleteMdau,
Columbus,Ohio.
NIMEKUWA NIKISUBIRI FUTARI ILIYOANDALIWA NA MKUU WA WILAYA YA NANNIHII AMBAYE SASA NI MHESHIMIWA BALOZI WA NANIHII....TUNAWEZA KUTUMIA FUTARI HIYO KUMPONGEZA MKUU HUYO KWA KUPATA VYEO VIWILI KATIKA KIPINDI CHA MWAKA MMOJA NA KUJADILI SUALA LA FULANAZZZZZZ NA MAMBO MENGINE YA GLOBU HIII!!! LAKINI INAELEKEA MHESHIMIWA MKUU WA WILAYA ANAENDEKEZA LIBENEKE LA ZIARA ZA NJE NA VEKESHENI
ReplyDeleteWadau nisaidieni, mimi sijui.
ReplyDelete1. Futari ni kwa waliofunga tu au wote?
2.Futari hutolewa ili watu wasio na uwezo wa kupata hiyo futari nao waweze kufuturu au hata watu wenye uwezo wa kupata futari wajimix humo humo?
MBONA VIONGOZI WA UPINZANI HATUWAONI WAKIKARIBISHWA KWENYE HIZI FUTARI? AU DINI HAIRUHUSU? NI VIPI WANAKARIBISHWA VIONGOZI WA CCM WASIOFUNGA NA KUWAACHA WAUPINZANI WALIOFUNGA? FUTARI HIZI NI ZA UPENDO KWELI AU ZINA LAKE JAMBO? MAANA WAANDAAJI NI WAFANYA BIASHARA WANAOSAMEHEWA KODI KWA MIAKA.
ReplyDeleteAlieuliza kuhusu wapinzani amuombe Michuzi aweke tena picha za ramadhan ya mwaka wa jana.
ReplyDeleteAnafuturisha kwa pesa ya serikali sasa wewe unataka nini au unasemaje, umeumia. Zingekuwa zimetumika kupamba ofisi ya ikulu kwa ajili ya krisimasi ungesema?
ReplyDeletekanifurahisha mhe. pinda alivyopinda miguu akiteremsha kaimati na vitumbua ah!!nimecheka sana!!
ReplyDeleteAnony wa 7:02PM, ngoja nikusaidie huyu muulizaji akionaga mambo ya waislamu huwa anapataga kigugumizi kweli, sasa nataka kumuuliza sio kupamba tu ikulu kwa ajili ya kirisimasi, yaani maofisi yote ya serikali yanavyopambwa kirisimasi, mapati ya kusherehekea kirisimasi na mwaka mpya, pesa huwa zinatoka mifuko gani? Mbona huwa haulizi, isitoshe hayo maandazi, kalimati, bajia, na ndizi mzuzu na tambi ndio zamtoa roho? Mbona mabia na makuku ya party za mwaka mpya hawasemi? Au utadai mwaka mpya ni wa wote? Hapana waislam wana kalenda yao na mwaka wao mpya, wahindu na mwaka wao mpya, na wachina na mabudha nao wana mwaka wao mpya. Huo mwaka mpya huwa unasherehekewa kila mwaka kuhitisha miaka kadhaa tangu kuzaliwa kristo. (kuna AC, na BC)
ReplyDeleteAhsante anon wa oct 01,12:25 AM tena huyu jamaa imekuwa kila akiona habari za waislamu hutafuta japo kijisababu chochote cha chuki chuki hivi,ili mradi atie watu dhiki tu, hebu wacha zako wewe wacha wazee futari iwateremke kwa raha zao, utaumwa hivyo hivyo tu kama mwiba ulokusakama kooni pole!!!!!!!!!
ReplyDeletewakishafuturisha ndiyo wanawasahau kabisa waislamu mpaka ramadhani nyingine. huku ni kujikosha tu.
ReplyDeleteWait .... Hilo ni swala binafsi, sio la ofisi ya makamu wa rais bali ni la makamu wa rais (ukishindwa kutafsiri utajua mwenyewe). Kuwaalika wapinzani sio lazima, ila inajenga utaifa. Hata hivyo, hiyo ni sio sherehe ya kitaifa bali ni futari, na muandaaji anaweza kumualika yeyote aonae anapendezwa nae. Mbona usiulize Kikwete yu wapi, au Sita?
ReplyDeleteNa nyie mambumbu hapo juu, msifanye mjadala kuwa wa udini. Pelekeni udini huko ...nanii wanakopigana wakristo kwa waisilamu. This is Tanzania, hatuna na hatutaki mambo yenu ya udini humu. Shenzi nyie.
Najua michuzi utabania comment yangu kwa kuwa ina neno shenzi, lakini wont without it >> wenye udini, ukabila na 'uchama' usiozingatia utaifa ni washenzi hadi mwisho wa dahari. Ukisoma ukabana, bado meseji itakuwa delivadi kwako pia.
MZEE SHEIN, TAKE CARE, WEWE SIJAKUONA UKITAJWA KWENYE ORODHA YA MAFISADI... VIPI WEWE 'HULI?' MKUU PINDA NAE TUNAMFUATILIA. I LIKE HIM BECAUSE HE IS VERY GENTLE! MOLA AWALINDE NA KUWAJALIA SIHA NJEMA NA HEKIMA ZAIDI YA ZILE ZA MFALME SULEIMAN (ila msizitumie kuwa na wake wengi wazee).
Watu wengi hufikiri udini ni kufuata dini, bali udini ni kuwakunjia (kona, korosho, roho mbaya, husuda n.k.) watu wa dini nyengine.
ReplyDeleteSikujua kuwa mpaka leo kuna mijitu ina udini mpaka basi, sasa mtu kuuliza kama ni hela za serikali ama za kwake, watu ooh krismass etc. Muwe na tabia za kuvumiliana!!!
ReplyDeletehahaha, pinda unakuna naz au
ReplyDeletekaz, kweli kweli
ReplyDeleteMdau wa Columbus Ohio, unaniabisha, mbona uko cheap hivyo. Watu wasisocilize? Tumekuwa Warusi?
ReplyDelete