assalam allykum
mkuu wa wilaya ya naniii,
na balozi wa naniii?
katika pitapita zangu za miangaiko nikaingia ofisi fulani nikakutana na fulanazzz mh? nilishtuka sana sema namba yako sina ningekuita uje na RB kabisa ila napafahamu.
Ndo yenyewe kabisa.
Mdau H
ze fulanazzz wadau ndiyo hiyo enzi za kuwepo kwake. yaani ina maana mmeshaisahau mapema yote hii??? halafu nasema tena, chonde chonde aliyenayo ama aliyeiona, tafadhali naiomba. tena kwa bei yoyote ile na RB ya polisi nachana. msihende mzaha wadau, naihitaji fulanzzz yangu...







y

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. no sio yenyewe sema tuu wee mkaka ulitaka utokee pozi apa ktk blogu mwone kwanza,,,sura,,,,,
    yan kora hazifanani,mistari ya ze fulanazz pia imetofautiana na michu yake ina grey na white kubwaa

    ReplyDelete
  2. duh michu una dhambi kbs tena mfungo wote huu??hii picha ya mwisho UYO MWANAMAMA KULIKONI UMKATE??
    tena ulikua mahali wala raha nae mana umemuegemea vizuriiii na ze fulanazzzzz ithink ndo siku ya mwisho kuvaa ukiwa nae so muulize uyo sio utusumbue sie!!!WHO IS SHE?
    teh teh teheeeee
    ila mwanaume una pozi weye??tena la uchokozi

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...