Bwana DC,
naomba nikumbushe tu kwa ufupi baadaya ya kusoma ulichosema leo wakati unatoa shukurani kwa Tanzania Daima baada ya kukufagilia .
Blog ni moja ya tekinolojia zilizo kwenye kundi linaloitwa web 2 technologies mfano wikis, RSS, podcast nk , ambazo sasa hazipo tena kwenye majaribio bali zinatumika rasmi kwa maisha ya kawaida/mawasiliano.
Kwa hiyo kampuni yeyote iliyo-amka au mtu,web 2 ndio kunakucha, asiyeingia ataachwa peke yake .
Kama mdau wa teknohama naomba uweke kwenye rekodi kwamba wewe ni mmoja wa waanzilishi wa web 2 adoption in tanzania ndo maana Zain wamekuona.
Keep it up
-- Adam H Mayingu
Dar es salaam,
Tel +255 22 2120950
Cel +255 754 782648

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...