Oyaa, mnaobisha kuwa ile ilikua penati ya halali, someni linki hiyo mpaka fagurson amekubali kubebwa na refa.
http://eurosport.yahoo.com/29092008/58/
premier-league-styles-apologises-error.html

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Sidhani kama kuna mtu aliyesema ile ni penalty,Ronaldo mwenyewe alivyokuwa chini kumbe alikuwa ana mwambia Referee its not a penalty wachezaji wote wa united walimwambia referee lakini yeye akaamua ni penalty na hii Habari Kevin Nolan ndio amesema kwenye daily news.Mnakumbuka Rob Styles last season Anfield aliwapa penalty chelsea Malouda alivyo pewa body chek. Any way life goes on Ila naomba Kuuliza Mende ilikuwaje akaangusha kabati Emirates Arsenal 1 Hull 2 alafu cha aibu ni kwamba Arsenal ndio walionza kufunga tena nyumbani duuuuh.Tatizo kuwAfunga sheffield 6-0 waliona ulimwengu si ndio huu!Sasa na sema kama wewe ni mshabiki wa Arsenal muwe na wasi wasi maan mecheza mechi 6 nadhani timu 2 zilizopanda daraja Hull&West brom na Fulham,Blackburn,newcastle e.tc kwa ukweli hizi timu zote ni ndogo na meshafungwa mechi mbili hamja cheza na top 4 teams au hata mid table teams kama portsmouth,,Aston villa mbona kimbe hiko.Kwanza leo usiku mnakazi against Porto.


    Man utd for life
    William Uk

    ReplyDelete
  2. Arsenal mwaka huu ni USHUZI mtupu..... sidhani kama watakuwepo kwenye top 4 at the end of the season.

    Arsenal for Life
    Mdau UK

    ReplyDelete
  3. Refs make mistakes all the time... get over it. Si bora ya Ronaldo haikuwa penalt, but there was a challenge. Eboue mbona alidive laivu kabisa na Arsenal wakapewa tuta dhidi ya B'burn. Lakini sio ajabu maana jamaa ni kawaida yake.. hadi UCL final dhidi ya Barca he dove for the freekick from which Arsenal scored.

    Kwanza mdau Will kawauliza swali zuri... sisimizi ilikuaje akamponda tembo Imirati? :-D na sio kwa kubahatisha.. maana jamaa waliwapiga goli 2 swafi; hazina hiyana. Nyie goli lenu ndio mpaka limemgonga fabregas ugoko, haha. Mechi 6; none against any of the top 6 from last season; tena Fulham and Bolton both narrowly escpaed relegation last term; with Fulham and newly promoted Hull beating you despite both being relegation favorites at the beginning of the campaign.

    NGOMA YA WATOTO HAIKESHI!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...