MWANDISHI WA RIWAYA YA "THE KITCHEN PARTY" mdau Swallehe Msuya (TANZANIA) aishiye Minneapolis, mambo yake si mabaya sana.
Habasi zinasema baada ya kitabu chake kutesa sana, amealikkwa kushiriki katika tamasha la wasanii, waandishi, wachoraji na watunzi wa mashairi wenye asili ya Ki-Afrika litakalofanyika Jumamosi tarehe 6/9 katika ukumbi wa CENTER FOR INDEPENDENT ARTISTS uliopo
4137 Bloomington Avenue,
Mpls,
MN.
Hongera kaka 'Nthuya'


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...