Home
Unlabelled
binamu atesa ukerewe
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
kweli kabisa bado tupo tupo kwanza haraka ya nini usawa wa Joji Kichaka wa washington? kazi njema B
ReplyDeletemambo mswano, lakini balozi mi naomba kamusi ya kimichuzi....majina ya wilaya na distrikit yanazidi
ReplyDeleteHaya Inspekta haruna yuko wapi, anaweza kufunika namna hii. Kazi kutafuta umaarufu kwa kutumia mipini ya wenzako. Kama umechoka mshkaji na gemu huliwezi, tafuta kazi.
ReplyDeleteNilipata chance ya kujumuika hapo na vijana walikuwa hawajapata kumuona aki-perform live walikubali kama jamaa kweli anajua ku-entertain pamoja na kwamba nyimbo zake zime base sana kwenye hiphop.
We Anony wa 10.10 kweli mswahili, sasa ndio unafananisha nini? Utafikiri umetoka usingizini. Hata mimi nilikuwepo lakini hakuna cha ajabu, bado wasanii wana kazi kubwa. Huyu bwana sio kipimo cha ubora wa stage maana kuna wanaojitahidi sana kwenye performance kama Jide, AY TMK na Chid Benz. Na ukumbi wenyewe ndio balaa utafikiri darasa la shule....
ReplyDelete