Samahani kwa wale msiohusika na ujumbe huu, tafadhali mu-upuuzie.
Kwa yeyote anayehusika:
Linki ya Tovuti ya Serikali kwa ajili ya zoezi tajwa hapo juu ni: http://www.dvlottery.state.gov
Mwenye kutaka ama anayefahamu mwenye kutaka kushiriki zoezi atumie linki hiyo na si tovuti nyingine zenye majina yanayofanana na hiyo.
Hayo maneno kwenye linki yakikosa kwenda sambamba hapo kutakuwa na walakini. Linki ni lazima iwe DVLottery dot State dot Gov (Gov for Government)
HAKUNA MALIPO YOYOTE yanayodaiwa kwa zoezi hili kutoka kwenye tovuti hiyo, si kabla wala baada!
Kazi kwako.
Subi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. KUMBE SUBI ULIENDA U.S.A KWA GREEN CARD SIYO? EEEEE.

    ReplyDelete
  2. We anony wa 12.12am badala ya kufurahi kuwa m-bongo ametoa link ya kuwasaidia wabongo wenzie, wewe unaleta jokes. Subi amewatahadharisha mwanzo kabisa kwamba kama haikuhusu ipuuzie.ila wewe hujakubali hadi ukapost nonsense.. Duh, wabongo mtabaki nyuma milele mkiendelea na tabia hii.

    ReplyDelete
  3. Jokes are part and percel of our lives, they do make days to go, there was no ubaya wowote kufanya joke hiyo, kwani ni kuna ubaya gani kumuuliza kuwa alienda kwa hiyo bahati nasibu, kwani ni kitu ya aibu kwenda kwa hiyo bahati nasibu, basi asingetuletea !!! hiyo joke wala hazuwii maendeleo yoyote ya wabongo au upendo baina yao, maendeleo na upendo ni pamoja na kuwa wawazi na wakweli.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...