leo ni siku hepi bethdei ya kuzaliwa ya mtangazaji gwiji wa BBC Charles Hillary N'kwanga. na katika kusherehekea usiku wa kuamkia leo mzeewa kiluvya pub alimtoa auti mdau chaaaazzz ili kumpongeza jijini London. pembeni kulia ni mdau Saria wa www.tanzaniasports.com
--------------------
hongera kaka chaaaaazzzz kwa kusherehekea kutimiza miaka nanihiino. da! inagwa siku hazigandi lakini kaka umekwiva si mchezo. hata aboubakar mwana wa liongo haoni ndani...mashaallah!
nawe mdau saria hongera kwa tovuti bomba. mzee wa kiluvya usisahau jezi ya awei ya bwawa la maini kama tulivyoongea. saizi ile ile - maana nawe kwa kusahau hujambo....
-michuzi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. Hongeza Brother Charles.Long Live.Ila siku hizi tunakumisi sana kwenye mambo ya macharanga. Kama vipi unaweza ongea tu na Uncle Tido akusawazishie Mambo pale TBC.Siku hizi Bongo tambarale kabisa kwahiyo usihofu masuala ya nanihii.Au kama vipi lianzishe libeneke hukohuko BBC.Badala ya taarifa ya habari ya saa nne asubuhi wewe twanga charanga moja (ubunifu tu)tehe tehe tehe!!

    Mdau, Cardiff

    ReplyDelete
  2. Hahah hongera mzee CHALESI HILALI JOKE Charles Hilal. au hilo la mwanzo hahaah. usitubanie SMS basi bbcswahili WESTHAM vipi? naona ISSA MICHUZI anaagizia tu jezi mwambieni jezi hali hahaaha mnapindika sana yeye anakula raha kwakwakwa. mzee wa kiswahili.

    ReplyDelete
  3. kaka hongera sana,hiyo style yenu ya kucelebrate nimeipenda sana,hako ka-glass kamenitia kiu wacha na mimi niingie Break point nipate angalau mbili kwa ajili yako.
    HAPPY BIRTHDAY.

    ReplyDelete
  4. HAPPY BIRTHDAY TO YOU.......
    HAPPY BIRTHDAY TO YOU.......
    HAPPY BIRTHDAY DEAR CHALESI
    HAPPY BIRTHDAY TO YOU.....

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...