Kutakuwa na hija maalum ya Jubilei huko Nyakijoga, Jimboni Bukoba tarehe 26/10/2008. Wakristu wote wanaalikwa kwenda kwenye hija hiyo ya Mama Bikira Maria wa Lurdi ili kujichotea neema tele na kupata rehema kamili kama ilivyoidhinishwa na Baba Mtakatifu Pio XII mwaka 1958.

Watakaoshiriki hija:
tarehe 17/10/2008 kutakuwa na mafungo St. Joseph kuanzia saa 8:30mchana mpaka 12:00 jioni
tarehe 25/10/2008 kutakuwa na hija maalum kwa waumini wa Dar es Salaam
tarehe 26/10/2008 kilele cha hija kwa wote.

Wote mnakaribishwa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...