Home
Unlabelled
minnesota yafanya mauaji wichita
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Ahh hawa jamaa walionyesha kiwango cha juu maana walikuwa wanakula gonga kwenda mbele.Jamaa wa Wichita walionekana kuchanganyikiwa na kugombana uwanjani baada ya kutohamini kupigika na wazee wa MN.Mpira ulikuwa mtamu na tunashukuru hakuna lilioaribika ...Hongera kwa washindi
ReplyDeleteDuh hawajamaa hawajakaa kimchezo lakini kumbe wanauweza maana walitandaza kabumbu balaa na kuwaacha wenyeji wao kutukanana uwanjani.
ReplyDeleteMpira ulikuwa mtamu na hakikuaribika kitu.Marudiano lini?
Wichita Kansas na sio Kansas City!!
ReplyDeleteDaah jamaa wamependeza kama Brazil vile na kabumbu waliyoionyesha itabidi wazee wa Kansas tuanze mazoezi na kuomba mechi ya marudiano.
ReplyDeleteaaah nawaona wazee! Riwa sikujui kuwa bado unalisakata..Dave wapi rasta ziku hizi? N'ways keep it up guys! Lets keep Minnesota juu.
ReplyDeleteJamaa walicheza fresh and they deserved a W,tatizo timu hii haikuwa toka Minnesota only bali ilikuwa combine ya Minnesota,New York na Houston.Jamaa toka H-town wanajua habari ya Wichita.Ushahidi?Ingia www.tunyfish.com.
ReplyDeletePia,it's Wichita,Ks not Kansas City.