Kaka Michuzi Habari
Mie ni mmoja kati ya wapenzi ya blogu hii nimeonelea nitoe tangazo kupitia globu yako hii kama utaniwezesha picha hiyo kwenye attachment ni ya mdogo wa rafiki yangu ametoweka nyumbani kwao toka siku mmoja kabla ya idd fitri mpaka leo hatujui yuko wapi ningependa na kuomba unirushie tanganzo hilo kwenye blogu ya jamii.
Regards:
George R. Wandwallo
Juction kunduchi/Tageta
HOPAC
BOX 70027
TEL:255-22-2650609/469
Fax:255-22-2650364
DAR-ES-SALAAM
TANZANIA
web: www.hopac.net

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Hello Mhe. Balozi,
    Ingekuwa vema tujulishwe pia umri na urefu wa huyo anayetafutwa, kwani hatuwezi kujua kwamba picha hiyo ilipigwa lini.
    Asante sana kwa juhudi zako katika Blog hii ya jamii!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...