Home
Unlabelled
nguna
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
The art of food. Ugali kuukanda hivyo unatamanisha sana.
ReplyDeleteHapo nahitaji majani ya kunde, maziwa ya mgando na maharage ya nazi.
Hapo bwana, vua shati tundika pembeni, chukua picha yako ya samaki wa kukaanga, yule unayempenda kabisa.
ReplyDeleteHata ukisikia moto upo nyumba ya pili, utaamua kumalizia ugali wako tu.
Mdau,
Ughaibuni
anoni umesahau na dagaa wa kukaanga na masalo.
ReplyDeleteNamna gani mdau anakuletea kiporo tena...
ReplyDeleteHuu ugali kwa kuutazama tuu ni very neutrisious.....hindi limesagwa kama lilivyo na hakuna kiini-lishe kilichoondolewa...nimeshtuka na dhana ya kukoboa mahindi ili usage unga ji dhana potofu.....ganda la mbegu ya mhindi ni fibres tupu ambayo ni makosa kuikoboa......anyway i was just thinking aloud (by fingers)
ReplyDeleteMmh wapendwa, mbona ugali umekauka kabisa, mnaanzia wapi kuutamani?
ReplyDeleteHuu haujakauka, umevaa koti tu. Ukiuvua koti bomba kabisa.
ReplyDeleteHuu si ugali wa mahindi , muhogo au nyange naona ni dunlop {dona} hivyo ni lazima uule kwa table knife na fork kama--naugopa kutaja kabila ya mtu-
ReplyDeleteWakatabahu
Baba mkwe misupu, mbona umetengenea kreta hapo juu halafu unatuzuga ulitakiwa unawe?
ReplyDeleteapa ni maharage ya nazi,vijidaga vya kukaanga wakiwa na pilipili,nyanya chungu,tembele la ndimu
ReplyDeletejuice ya mix,na matunda,,,hiki ndo chakula asilia yetu na vere nutrishaz