vijana wanaowania nafasi za kucheza ughaibuni kwa tiketi ya vodacom wakiwa katika picha ya pamoja na makocha na viongozi wa kampuni hiyo ya simu za mkononi
vodacoma stars wakisakata kabumbu kwenye mechi ya kirafiki leo uwanja wa karume
kocha mkuu wa vijana hao akiwapa mawaidha wakati wa mapumziko
mabosi wa vodacom wakifuatilia kwa makini maendeleo ya vijana wanaowalea kuwa nyota wa baadae

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. Hongera VODACOM. Ehe! Huyu kaka nimesoma nae Azimio Primary Mbeya 1988 LY. Anaitwa nani vile???

    ReplyDelete
  2. safi hiyooo..taratibu 2 nasi 2taweza kuja kuwaona wachezaji we2 ktk moja ya ligi kuu za ughaibuni.
    Mungu Bariki TZ.

    ReplyDelete
  3. kakaa v fanya zoezi kitambi hicho

    ReplyDelete
  4. Jengeni majukwaa ya kisasa kuzunguka uwanja wenye uwezo wa watu 15,000 kiwe kama chanzo cha kipato kwa TFF.

    Naamini mabenki,mifuko ya fedha kama NSSF n.k wataichangamkia tenda hiyo.

    ReplyDelete
  5. Mie naomba serikali ya michezo ilitizama hili swala la watu wanaokuja kuchukuwa wachezaji isiwe kama nigeria zile wanaita Scam mambo ya utapeli kama slave trade ya football.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...