Kaka Michuzi,
Pokea picha za wadau wa blog yako walio Mwaka wa kwanza Masters sijui niseme Ujaluoni(Ujerumani), tuko homesick lakini blog yako inatukeep posted.
Wasalaam

Mdauzzz...
.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. Asante mdau lakini mbona kama hujiamini.Sasa hapo ni chuo gani na mnachukua masters ya/za kitu gani,wewe ni yupi katika hao(weusi?) au unafikiri kila mwanablog anakufahamu?Michuzi wakati mwingine huwa unaomba maelezo zaidi b4 you post these salaam's and other stuffs.

    ReplyDelete
  2. Balozi wewe ndio bingwa wa fotoz nakuuliza pamoja na wadu wengine kwa nini mswahili ukipiga picha pamoja na wazungu wengi sura za kiswahili hazionekani vizuri.

    Hata london nilikuwa ktk kujiweka sawa wakati wa group picha na paparazi ambaye ni mzungu akachukuwa muda mrefu kurekebisha kamera yake, baadae kwa vile ni rafiki yangu akaniambia 'mshkaji sio kwamba na maana mbaya ila kupata picha ya mtu 'mweusi' nzuri inabidi mpiga picha uwe makini zaidi kutokana na mwanga hafifu!

    Je ni kweli hayo na ze fotoz-grafa alikuwa na jambo?.

    ReplyDelete
  3. mchangiaji wa pili: je ukoje weusi wako? labda umweusi kama usiku wa kiza!!!

    ReplyDelete
  4. anoni wa 11.11am, sura nyeusi yaameza mwanga wakati nyeupe yaakisi mwanga! sasa kama unapendakung'ara basi paka chaki au mkorogo.
    wadau ujaluoni pikeni ugali kwa dagaa na kushushia na unyuka then ugonjwa utawapona! Material yanapatika kwa duka la mchina d'ntaun, Lol

    ReplyDelete
  5. He!ee!!hawa ndio madenti wanaotuwakilisha huko Ujiji!??
    Taifa letu bwana halina ubaguzi!
    SI UNAONA MWAKA JANA Miss.Tanzania
    Richa Azia alikuwa mdosi,MWAKA HUU
    MADENTI WETU WENGI WAZUNGU LAKINI WATANZANIA!
    safi sana ulituletea picha hii

    ReplyDelete
  6. Aisee pole sana kwa upweke huko Ujerumani.Nimefurahi kwamba angalau unakumbuka nyumbani kwa kuangalia blog ya Michuz na bila shaka na nyingine nyingi kupitia hii hii ya michuzi.Wahamasishe wenzio unaosoma nao hao Wajerumani wakati wa likizo za mafunzo waje wafanyie huku nyumbani Tanzania!Tell them that We love them all the Germans!Welcome to Tanzania Dear Germans!

    ReplyDelete
  7. Tunajua yanayo kupateni huko Ujerumani! Poleni sana na upweke ulichanganyika na Ubaguzi,na kila siku mnaulizwa mtahondoka lini kurudi kwenu.
    Mkimaliza masomo msipoteze mda mrudi nyumbani Bongo sasa Tambalale

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...