Home
Unlabelled
siku 20 za sinema za ubwete
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
ubwete? ama kweli kiswahili kinabadilika kila siku! sijui kama visiwani wanalitumia neno hili kama brother michuzi alivyofanya hapa :)
ReplyDeletenaomba unisaidie hivi mkoa wa morogoro una radio na tv station ngapi na majina? pia kama kuna gazeti lolote hapo mkoani
ReplyDeletenaomba mnisaidie jamani hivi mkoa wa morogoro una tv station na radio station ngapi? na majina pia kama kuna gazeti la mkoa huo tafadhali
ReplyDeleteMdau uliyeulizia vyombo vya habari mkoa wa Morogoro.
ReplyDeleteKuna Abood TV, Radio SUA na Radio Ukweli.
Hakuna gazeti.
Siku njema.
//Mdau
PS: Taarifa hii imegharimu Tshs. 120/- ikiwa gharama ya SMS kuwasiliana na mdau mwingine aliyeko Morogoro ambaye labda hajasoma ombi lako, au hana muda wa kujibu. Ukisema "asante" inatosha.