balozi wa uswisi akihutubua kwenye dhifa ya kusherehekea siku ya taifa ya nchi hiyo katika hoteli ya moevnpick, dar,usiku huu
baadhi ya wadau waliohudhuria dhifa hiyo leo
mhariri mtendaji wa tanzania standard newspapers, wachapishaji wa daily news, sunday news na habari leo alikuwa miongoni mwa waalikwa na mai waifu wake na mdau
kikundi cha muziki toka uswisi kilikuwepo kutumbuiza

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...