bwana harusi akipelekwa kuchukua jumla mitaa ya vingunguti, dar. mdau kama unazo tuletee kupitia issamichuzi@gmail.com kwani taswira kama hizi ndizo zinatafutwa kuleee... libenekelataswira.blogspot.com
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
bwana harusi akipelekwa kuchukua jumla mitaa ya vingunguti, dar. mdau kama unazo tuletee kupitia issamichuzi@gmail.com kwani taswira kama hizi ndizo zinatafutwa kuleee... Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
hii nimeipenda hii.alafu ndoa kama hizi ndio unakuta zinadumu sana kuliko zile za kwenda kuoa kwenye ma limousine.
ReplyDeletenI KWELI ndoa kama hizi zisizokuwa na makamuzi ya kumwaga uwa zinadumu. Kwa mie niliyetokea kwenye maisha kama hayo, inanikumbusha nini maana ya kuhangaika kimaisha na umuhimu wa kuheshimu maisha ukishapata maishani.
ReplyDelete