Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Naomba kukupa news ambayo utaipenda!...

    kwani Kule Tarime nimesikia mbwa kavishwa tisheti ya ccm na kuuliwa na mwenyewe kawekwa rupango..


    lakini USA kuna puppy naye kavishwa..

    lakini wao wamemwita puppy "royal supporter"..

    Je wanakijiji wanasemaje>??
    http://www.iol.co.za/general/news/gallery.php?click_id=408&date_d=29&date_m=09&date_y=2008&original_image=d/a/picdb48e66d9268171&set_id=1&choice_id=79&keyw=

    ReplyDelete
  2. Wewe hapo juu sasa unachosupport ni nini? kuvalishwa rangi ya chama chochote sio tatizo...tatizo ni kuuwa mbwa....aliwakosea nini huyo mbwa? Kwanini wamuue? Je kuua wanyama bila sababu yeyote ni halali....???? Where is animal rights?...Angeuwa huyo mbwa huku USA hivyo angeishia jela maisha yake yote....I am sure huyo atawekwa jela kwa week tu na kutoka nje....na mtu anayeua mbwa kikatili hivyo hata kuua binadamu sio tatizo kwake...wasipo stop this shit ....tutaanza na mambwa na kuishia kuuana wenyewe...

    ReplyDelete
  3. Huyo msichana kama yupo kwenye hiyo party basi nakuja huko TX

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...