Afisa Uhusiano wa Tigo akitangaza mpambano wa DJ's na wasanii wa Afrika Mashariki utakaojulikana kwa jina la Xtreme Party utakaofanyika katika ufukwe wa Bahari ya Cine Club maalum kwa wateja wa kudumu wa Tigo kuanza kufurahia mwisho mzuri wa mwaka 2008.
Kushoto kwake ni msanii wa Bongo flava Herry Sameer (Mr Blue) na Ruta Bushoke watakaoshiriki kuiwakilisha Tanzania.
wasanii wengine watakaoshiriki mpambano huo ni kundi zima la P Unit kutoka Kenya na aliyekuwa muimbaji wa kundi la Blue 3 mwanadada Cindy nani atakaeibuka XTREEME.
Kwa mpambano wa DJ' atakuwepo Bush Baby na Wesley kutoka Kenya.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Wadau jitihada zote hizi, hamna hata comment? Msisahau TIGO ndio wadhamini wa blog hii.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...