
hii ilikuwa ni baada ya kufanya naye intavyuu ya video kwenye tovuti ya magazeti hayo ambayo hadi sasa video hiyo imevunja rekodi kwa kutazamwa na watu wengi zaidi ya video zote tulizozitundika mtandao wa www.dailynews-tsn.com toka tuanze libeneke hilo julai mwaka huu.
jumla ya wasomaji 6,486 wameiangalia video hiyo ambapo wasomaji takriban 41 wameweka maoni yao juu ya john mashaka.
ukitaka kuhakikisha hilo bofya hapa
Mbona amevaa miwani ya jua?
ReplyDeletewabono wanataka kujua ujinga wake..
ReplyDeleteMIMI SIZURU HIYO TOVUTI MAANA SASA HUYU TUNAONA ANATAFUTA MISIFA.
ReplyDeleteUSINIBANIE HII
Jamaa wa kuigwa wanakuonea wivu kweli. Pole sana mdogo wangu, uzuri ni kwamba kila kitu unachokifanya ni cha maana na jamii inakukubali
ReplyDeleteIla mdogo wangu, waosha vinywa kama walivyo watakupaka kweli
Huyu amaekuwa ndio OBAMA wa Tanzania. anawakilisha nchi yetu vizuri, ila watu kutaka kumjua siyo kitu cha ajabu, wewe unasema watu elefu sita au comments 41, nenda Bongo Celebrity utakoma. comments zaidi ya 141
ReplyDeletehttp://bongocelebrity.com/2008/04/02/kutoa-ni-moyosi-utajiri-john-mashaka/
Sasa mashaka ukija Tanzania jaribu kuwa mwangalifu, wa kukupamba watakuwepo na wa kukutaka kukuangusha hasa mapaparazi
Jamani, Kaka yangu Michuzi, unanifahamu vizuri tu. mimi ni dada mzuri tu,tena mstaarabu, nafanya kazi zangu za modelling Afrika kusini na jamii inanifahamu vizuri tu, sina kashfa ya aina yoyote na bila kuficha au kuzunguka mbuyu, huyu kaka nimempenda.
ReplyDeleteShida ni kitu kimoja, umaarufu unakuja na matatizo yake. Umaarufu wangu umewafukuza vijana wote ambao wangeweza kunioa na hata wazazi wao wamenikataa. Kwa sasa hivi kila anayeni approach ni watu tu wa kunichezea.
umaarufu unafunika kila kitu isipokuwa watu wa kukuchafulia jina
Jamani mimi namtaka Joni Mashaka, najua hajaoa na hana mchumba, kwa hiyo naomba mnipe njia ya kuwasiliana naye. nimesikia habari zake kwa watu tofauti, ni kijana mstaarabu sana
M O
Ndio kavaa miwani ya Jua, ulitaka avae miwani ya mvua? au boxi ndo imekuwangukia jicho la kushoto
ReplyDeleteNaona ulichamba kizee vibaya leo umerudi na maasira
Wabongo bwana !
Mbona dogo mnampandisha chati hata zaidi ya OBAMA? Haya bwana tumekuona
ReplyDeleteMashaka, njoo basi utuhutubie hapa Wichita Kansas. Tutafurahi sana ukija na ile hotuba yako ya mnazi mmoja. hizo hela zenu za Wall-Street zinakutosha kununua tiketi ya kuja hapa maramoja kuwanona wenzio,
W-Kansas
Wewe Mashaka, ulifanyiwa kafara ya kondoo mweusi baada ya kuzaliwa na kabla ya kuja marekani nini? Mbona sisi mambo yetu siyo safi hivyo?
ReplyDeleteHuyo kondoo anaye vitukuu vyake? hata ngozi yake itanifaa. Umri wako ni mdogo sana kufanya mambo makubwa kiasi hicho ndio maana wengi wanakuonea wivu
Haya bwana. Kila la kheri na kazi nzuri. Kaa na moyo huo huo wa ukarimu na unyenyekevu
Mamo yako safi
Zile articles ulizo copy na ku paste za kifedha ndo chanzo cha hawa wageni kuzuri hizi sites. Zile articles siyo za mtoto zile, uliona wenye machungu, yalikuwa ni articles babu kubwa ndo maana watu wanamtafuta jonie
ReplyDeleteMichuzi, unachokifanya ni kumtumia huyu jamaa kuvutia watazamaji kwenye globu ya jamii.Sasa kama anaandika articles kama zile unadhani tutafurahi na kumwangalia hivi hivi. Kila mtu lazima atataka jujua yeye ni nani, kwa maana zile articles hata hawa waandishi wetu hawana ubavu wa kuzindika
Ndiyo ni kweli, Mithupu anatumia umaarufu wa huyu jamaa kuvutia wateja kwenye site yake. Mashaka amekuwa sumaku, toto yote ya mafisadi ughaibuni yanataka kujua kulikoni na bwana mashaka na ni hao ndio wanaoweka comments chafu. kwa maana mashaka kawazidi kete, ila inabidi hawe mwangalifu kwa maana watajidai marafiki na kuanza starehe zao za kukuporomosha
ReplyDeleteww balozi wa zein ulitegemea nini, huyo si ni John Mashaka, lazima tu watu watatfatufa kwa maana amakuwa ni cheche na mkuna vichwa siyo tanzania tu, hata huko marekani jina lake limekuwa cheche. aliyekuzaa angezaa wengi jamani
ReplyDeleteBalozi wa Zeina
ReplyDeleteMimi nina ma sista watato (5) miaka 19-hadi 31 na wote bado wapo nyumbani, mara wanazuka na wachumba wa miezi mitatu kisha kazi kwisha.
Balozi wetu, mimi naomba usaidizi kumuozesha hata mmoja kwa mtu wa maana, nadhani muda umefika waondoke nyumbani
Ni dada warembo sana na tabia nzuri ila meni hakuna DAR ni wazushi tu. Yaani jamaa (mashaka)tutamuozesha hata bure, hakuna cha mahari wala cha nini. Bure jumla jumla chaguo ni lake ilmradi wadogo zangu hata mmoja apate mtu wa maana
Peter Msemvu Dar
KAKA MICHUZI MIMI NAMSUPPORT HUYU JAMAA KWA KILA MALI NA NINATAKA KUJIUNGA NAE KUSAIDIA JAMII YETU NILIKUWA NATAFUTA WATU SERIOUS KAMA YEYE, NILIKUWA NAOMBA INFO ZAKE ILI NIWASILIANE NAE, ILI TUSAIDIANE. email yangu ni sexyeyez08@yahoo.com
ReplyDeleteDC
We SEX YEYE hapo juu hujatulia kabisa unafikiri mashaka anatafuta habari za mambo ya sex hapa. Mwanaume anapiga mzigo wa ukweli na jamii iko desparate kupata watu kama hawa. Acha kutaka kumtoa jamaa out of track pls pls tena pls sana.
ReplyDelete