supa modo happiness magessa, anayefanya shughuli za umodo huko sauzi, alikuwa kivutio cha aina yake wakati wa maonesho ya swahili fashion week yaliyofanyika dar wiki iliyopita

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 11 mpaka sasa

  1. Mkuu, ni Happiness MAGESSE

    ReplyDelete
  2. swali nitampata wapi huyu mutoto,nifanyie mpango basi aaah

    ReplyDelete
  3. We Michuzi unatafuta ugomvi wewe.

    Huyu Si alisha likataa hilo jina la Happiness siku hizi znzitwa jina fulani hivi la kizunguzungu?

    Atakushtaki wewe kwa kumuita jina sio lake.

    Shauri zako. Mie simo.

    ReplyDelete
  4. Happy ni bonge la mlimbwende, lkn tangu ajibadili jina na kujiita Millen...nimedis value

    ReplyDelete
  5. Anon 8:35 AM unasema umemdis Value kila mtu ana haki ya kufanya kitu anachoona kinamanufaa kwa kwake sio kwajili ya watu kama nilivyosikia radio mbao huyu binti alibadilisha jina kwasababu za kikazi iliaweze kupata kujulikana vizuri katika kazi yake. kazi kama yake inategemea sana umaarufu ndio upate kula wanashauri uwe na kitu unique kama ID kuweza kutambulika

    Mdau

    ReplyDelete
  6. Sasa mbona unaminya comments michuzi?! Haina democracy kwenye blog yako. Tunaangaliaga tu basi kwa muda mwingi tunaboreka na kazi na hatuna cha kufanya huku. Tungekuwa na alternative wala tusingetia mguu hapa. Unaminya mno comments. Anyway, cha mtu mavi

    ReplyDelete
  7. Heppines(millen) kwenye mashindano tena???? sijui wanaogopa kuolewa hawa watu? Odemba nae yuko hukooooo mashariki ya mbali kwenye mambo ya uzuri hawachoki hawa wadada jamani

    ReplyDelete
  8. michuzi usingekuwa unabana comments ingekuwa mwake sana..anyway nimeona interview yake kwenye channel 5 ana wang sana yani kurembesha sana maneno ile kziungu zungu utafikiri kawa mmarekani! eti "i see Tanz`nnaya(tanzania)iz realy develorping(developing) coz we garra(gat) thez fasheen(fashion) showwz looh yani ngoja niishie hapo mtoto anajishebedu! kawa mzungu?kajichubua juu! we MILEN WEWE MTOTO WA TEMEKE?????haya!

    ReplyDelete
  9. Mtoto kaumbika, sio siri...kubadili jina kwani tatizo gani?. Mtu anafanya anavotaka bana!. Lakini jina langu navolipenda sibadili ng'o!

    ReplyDelete
  10. Ukiwa kwenye business hizi wakati mwimgine unajikuta katika maamuzi mazito ya kutaka kubalishwa jina hata mwenekano wako, kuna maagenti na wengine wengi wanaokushauri kufanya hivyo kuangalia maslahi, kama kabadili mwenyewe au imembidi kikazi NOT MAD AT U GIRL.Hollywood na tv show hosts wengi na wanamuziki wengi HAWATUMII MAJINA YAO YA KUZALIWA, SO ITS OK PEOPLE LIFE!!!.NI HAYO TU===KATIKA KUPANUANA MAWAZO MDAU.

    ReplyDelete
  11. jamani mwacheni...
    mbona wanamuziki waigizaji na watu wengi hawatumii majina yao halisi.
    millen ni jinale la kwenye sanaa tu lakini kweny passport na vinginevyo ni still happines magese.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...