Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika, Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika mazungumzo na kiongozi wa Libya Muammar Gaddafi katika ikulu ya Tripoli jana jioni.Rais Kikwete alifanya ziara ya kikazi ya siku moja nchini Libya.(picha na Fredddy Maro)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 27 mpaka sasa

  1. Hongera Vasco Da Gama

    ReplyDelete
  2. Hapo anamwambia Gadafi
    "Hii suti nilinunua Marekani nilipoalikwa na Bush"

    ReplyDelete
  3. Bwana weee mwenzio mimi napigwa mawe siku hizi

    ReplyDelete
  4. Sijui ni comment!!!?? Au nikae kimya tu kwa sababu haitasaidia chochote!!!!!

    Ila mwambieni mshkaji huku elimu imesimama! Kuanzia shule za msingi mpaka Vyuo Vikuu.

    ReplyDelete
  5. wabongo bwana,wakati mnamchagua hamkujua kama anapenda vi trip??mbona zake tangu alipokua waziri.

    ReplyDelete
  6. KIKWETE ANAONGEA NA BUSH NA THE SAME TIME GADAFI INABIDI ACHAGUE MAANA HUYO GADAFI HAPA MAREKANI DRAMA

    ReplyDelete
  7. Alimpaga Amin silaha wakati ule wa vita vya Kagera. Dege lilitunguliwa airport kabla ya kupakua silaha

    ReplyDelete
  8. uyu jamaa mi kashanchosha yaani. yeye kila siku maholiday tu nje ya nchi, huku nchi imejaa matatizo. ndo mana washkaji wanampopoa kwa mastoni. licheki

    ReplyDelete
  9. Ile Deal ya OIC ``Its a done deal``..... Misaaada basi! tehe tehe tehe!!

    ReplyDelete
  10. kwani zein haifiki huko? si shule ya msingi ni kuanzia kida geti mpaka mwisho sijui ndo vyuo vukuu sijui mtumieni sms huyoooooo

    ReplyDelete
  11. Dah, Huyu mchizi kwa safari hajambo!!!

    ReplyDelete
  12. NAOMBA KUTOA HAJA HUYU NINAOMBA TUMUNGEZEE CHEO AITEWE RAIS WA MAMBO YA NCHI ZA NJE MAANA JAMAA HAKAI NCHINI KWAKE NYERERE ANGEFANYA HIVYO HATA YEYE ASINGESOMA VERY SAD

    ReplyDelete
  13. Nyerere kageuka kule kaburini nusu afufuke kumuona mwanafunzi wake kikwete akitweta na mzee gadafi!!!

    ReplyDelete
  14. mbona huyu jamaa anaonekana kama vile ana mikono 3?

    ReplyDelete
  15. huyu GADAFI raisi tangu wakati nikiwa shule ya msingi,mh kapendeza na guo lake.yah abibi umekaa kibeberu mh na JK nae kapendeza.

    mie nangoja picture ya JK na Obama pamoja watakuwa wamekucha sana,mana wanavutia na wanajua kuvaaa.
    michuzi ukiipata tuuuuuu,weka tena big size.nawapenda sana JK na Obama.

    ReplyDelete
  16. nyie wote mnaotoa maoni nafikiri ni walevi na hamna upeo wa kufikiria huyu si rais tu wa tz bali ni chairman wa AU kama hamjui hii ni ziara ya kazi na haigharamiwi na watanzania bali AU Organization ndio inayogharamia. Nyie mnachotakiwa mshukuru kuwa rais anawatangazia nchi na kuhusu hao waliompiga mawe ni wahuni tu wa vyama vya upinzania ambao hawapendi kukubaliwa na kupendwa kwa JK hiyo hata sioni kama ni isu kwani hao ni kama nyinyi machizi mnajua kuongea pumba tu fanyeni kazi na mpunguze kuongea sana.

    ReplyDelete
  17. tembea sana Mr Presdent lakin mambo ya Warabu waachie wenyew, pia tulia kidogo uendeleze nchi. si lazim uende wewe unaweza kumtuma wazir pia

    ReplyDelete
  18. anapenda sana kupanda ndege

    ReplyDelete
  19. ziara ya AU inagharamiwa na AU? hata huyo body guard wake atalipwa na AU, HIYO NDEGE MAFUTA NA MAINTENANCE NI AU? AKINA MICHUZI ANAOFUATANA NAO WANALIPWA NA AU?N NA MSHARA WAKE WA SIKU HIZO AKIWA NJE ATALIPWA AU ATASAMEHE? HUO MUDA ANAOTUMIA UTALIPWA NA AU? AMBA WATANZANIA WANAMKOSA KWA MAENDELEO YAO?

    ReplyDelete
  20. we anonymous 7:03 MNAFIKI mkubwa ungekuwa karibu una stahili kupopolewa na mawe kabisa.
    Anatangaza nchi ili iweje.

    Haka kajamaa not serious kabisa, na utakasikia kanaenda kumpongeza Obama...si tupo.... u will see.

    ReplyDelete
  21. Muumba ndie apangae uongozi wa mahali popote duniani,,,ata msemeje ni wakati wa JK tu,
    ila duh!!ivi JK hana basi ata kavazi katakofanania asili-asili??yan aazishe tu kavazi unique ivi tofauti na mivazi ya kizungu,,maana iyo miwestern suti keeeeeeeeeeero kweli afu aonekana too artificial cheki mwezie na vazi lake maridadi

    ReplyDelete
  22. mdau wa nov 21. 9.53am we ni mshamba sana hamnazo kabisa sasa unataka ndugu mh akialikwa na Obama asiende? ungealikwa wewe usinge enda? unaalikwa kwenye vijiparty njaa njaa viharusi unaenda itakuwa mwariko wa raisi wa Marekani? duh wewe ni mshamba sana.

    JK nendaaaaa ukialikwa vaa GEORGIO ARMANI SUIT, VIATU FARAGANO,TIE VERSACE,CHUPI NA SOX TOMMY HILLFINGER.

    waonyeshe ulimwengu kama TZ imejaliwa rais mzuri anaejuwa kuvaa yani JK sengine anamshinda hata Obama kwa umaridadi na uzuri

    nakufagilia wa wa waaaaaaaaa.
    mimi ni JK GIRL.

    ReplyDelete
  23. we mdau wa 12:35 am a.k.a JK girl nakuunga mkono sana tena ungekuwa karibu ningekutunza wewe ndo mwenye akili humu kwakweli, sisi bwana sio tuna mfagilia kikwete bure bali tunampa haki yeke kama anasafiri kikazi na anaonana na wakuu wa nchi nyingine kwa nini tulalamike bila mpango au mnataka alale usingizi ikulu?
    JK anatuwakilisha jamani si vizuri kumpa madongo inabada tumuunge mkono raisi wetu ili kumpa moyo zaidi hususana kwenye mambo ya maendeleo hebu tizameni hao wafalme wa nchi za kiarabu wanavyosafiri kwenda kwenye ma vacation lakini raia wao hata hawalalamiki sisi raisi wetu hatumsikii vacation ila kazi tu hebu mpeni credit jamani.

    ReplyDelete
  24. we mdau uliemunga mkona JK GIRL ,i feel you mshikaji kwakweli JK kaitangaza nchi ya TZ mnoo sikuizi macelebrity kibao wanakuja TZ kutembea,

    pia anajuwa style mimi namshukuru sana vile alivokuwa havai makaunda suit,isipokuwa akiwa bungeni au ziara za mikoa lakini nchi za madola anapiga masuit ya nguvu.maridadi sana.

    isitoshe kusafiri safiri kunachokesha sana watu hawaelewi,tena badala ya kutuma mawaziri anaenda mwenyewe kutupigia debe wananchi wake
    sanyingini anajidharirisha kwajiri yetu alafu mijitu inamsema eti anasafiri mno,kwani mmesikia yeye ni limbukeni wa safari?

    ReplyDelete
  25. Na wewe anon wa Nov 24, 1:04 AM sijui umezaliwa juzi? Nani kakwambia macelebrity wameanza kuja TZ kutembea siku hizi za JK?

    Una habari kuwa kina Mohameid Ali (boxer), Marehemu James Brown (gwiji la Music), Rev. Jesse Jackson wote walifika TZ miaka ya zamani sana. Hata maraisi wenyewe na wanaharakati walishafika miaka hiyo, kina Fidel Castro wa Cuba, marehemu Che Guevara, etc.
    Naona ulikuwa bado hujazaliwa weye. Muombe bro Michuzi ufike pale ofisini kwake aweza kukuonyesha picha zao walizopiga wakiwa bongo.

    ReplyDelete
  26. Na wewe hapo juu unachekesha sana kusema anapiga masuti ya nguvu JK. Wewe mchizi kweli kwani akivaa nguo za asilia hawezi kupendeza anapokuwa nje? Mbona babu Mandela anapendeza sana tu na mashati yake? Tena Bill Clinton nasikia aliwahi muulizia Madiba style yake na kusema anaipenda, basi Madiba akampatia zawadi Clinton alipoenda SA kwenye kikao cha chama chao cha wazee members wengine ni kina Jim Carter, Kofi Anani, etc

    ReplyDelete
  27. we mdau wa 4:45 pm wewe wewe wewe ndo mchizi tene huna akili hebu tupe hizo nguo za asili yetu hebu tueleze ..hizo khanga na vitenge zenyewe tumeletewa na wahindi tumebambikizwa tu wao wanafanya biashara na sisi tunasema asilia wakati kabla ya hapo mama zetu walikuwa wakivaa balongo enzi za baba wa taifa sasa hiyo nguo asilia ni ipi?au mnaiga wawest africa mna claim asili yenu!!!! ovyoooooooooooooooo

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...