break point ya mjini ilivyo kwa ndani
bosi mkuu wa break point akiweka sawa stoki yake ya kamongo
bosi mkuu wa break point papaa daudi akionesha kamongo ambao wamepanda chati sana toka awatambulishe kwa wadau siku obama alipotangaza ushindi, akisema kwamba rais huyo mteule wa marekani huwa anapenda sana hii kitu anapokujaga anga hizi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 8 mpaka sasa

  1. Balozi Mithupu! sasa ivi inabidi ubadilike, hizi promo za ajabu ajabu zinazokufanya upate ofa ya dina la mchana hapo breakpoint ndo zinazokutia matatani.
    Umlimfagilia sana Johnson Lukaza, kumbe mjaa kupe..nxt time vipromo vyenye harufu ya rushwa njaa uwe unavichunia japo najua ndo vinakufanya uishi mjini kiulaini...Bongo tambarare bwana.

    ReplyDelete
  2. Kamongo ndio nini? Mbona inaonekana kama mizoga fulani, kamongo ni mnyama au ni nani? Wabongo ndio maana mnapata magonjwa ovyo ovyo kwa kula vitu vichafu.

    ReplyDelete
  3. we anon wa pili funga kopo lako unajifanya ujui kamongo,halafu acha kukandia wabongo.muone kwanza sura mbaya.

    ReplyDelete
  4. Oyaaaa Balozi wa nani hii thx sana kwa kunionyesha huyo kamongo aliyemfanya pegere kukosa market

    ReplyDelete
  5. Danganya toto. ati anapenda sana hii akijaga...obama anapenda hiyo sijui kimongo duh hii kali

    baraka amevisit Kenya twice

    barack obama anapenda chili

    ReplyDelete
  6. Mwanzo Nilifikiri ni Ngozi za Mbuzi. Ghafla nikaona kamongo, sifahamu kamongo ni nini ila anaonekana kama samaki. Na kama ni samaki lazima atakuwa ana-ninyenge si mchezo, Hapo BP kunakalika kweli!?.

    BoOSt3D

    ReplyDelete
  7. No! No ! NO! bro misupu hiyo siyo KAMONGO bwana hiyo inaitwa OBAMBLA! waulize wajaluo halisi soi hao feki!! kamongo anafanana na KAMBALE ila Kamongo ni mkubwa sana na anamafuta kinoma, huwezi kumkaucha. Huyo OBAMBLA ni mtamu sana kuliko PELEGE!

    ReplyDelete
  8. jamani eeh msikandie mboga za wenzenu kama hamsijui nyamazenu tu,msitukuze vyakula vya watu na kudharau vyakula asilia vya kwenu....mkataa kwao ni mtumwa. Kamongo ni samaki wa kukaushwa ni watamu sana kwa ugali wa mhogo nadhani wenzangu wa kanda ya ziwa (mwanza na mara) mmenipata!!!!
    tena kule kwetu musoma tunawaita vibambala.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...