

Haya Michuzi picha za wajumbe wa kikao cha SADC Parliament Forum wakiwa katika mapumziko AICC hapa A-town baada ya hotuba ya ufunguzi ya waziri mkuu Mhe Mizengo Pinda leo
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Huyo picha ya pili chini kushoto ni cross dresser au ndio kwa mwendo wa thy love your culture?
ReplyDeleteDu yule bwana wa kushoto kule kanikumbusha mwaka 1993 wakati nakula nondo swaziland hawaachi utamaduni wao wa mavazi na dada zao hawana noma mhh nimeacha wapenzi wengi kule hahahaha
ReplyDelete