Home
Unlabelled
kp leo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Kipanya you made my day!!!!!!!! wabongo wanachongachonga saaana lakini siku hazigandi. President ndani ya bajaji utawasikia bado wanachonga kwamba ina gharama.
ReplyDeletendo ukweli wenyewe,,,ata msemeje
ReplyDeletesafarizzzzzz
haswaaaaaaa hadari ndo hiyo........wabongo ndo tulivyo
ReplyDeleteHaswaaaaaaa habari ndo hiyo........wabongo ndivyo tulivyo
ReplyDeleteWabongo nuksi kweli...
ReplyDeleteSisi tuliosoma zamani tunakumbuka ile hadithi ya Maskini na Punda wake nadhani inapatikana katika kitabu cha hadithi za Esopo. Kwa kifupi ukisikiliza linalosemwa na kila mtu huwezi kufanya jambo lolote la maana kwani utachanganyikiwa, kwahiyo basi, kama hatujui sababu za ikulu kubadilisha magari ni vema tuulize ni kwanini au tukae kimya na tusiseme tena. Sioni tatizo kwanini Rais asiwe na magari ya mazuri au ndiyo hivyo tunataka atembelee Bajaj ili tuanze kusema Rais anaidhalilisha nchi anatembelea Bajaj?
Acheni kuchonga kusiko na maana.
anachotakiwa kufanya ni kubana matumizi sio kuongeza mzigo wa gharama kwa kodi zetu.
ReplyDeletelingine ashughulikie matatizo ya ndani ya nchi zaidi