Habari Bwana Michuzi,
Naomba nipate msaada wa kumtafuta rafiki yangu Daudi Shekimweri, tulikuwa wote shule ya msingi Zanaki Primary - Dar. Nimepotezana nae toka mwaka 1984. Tafadhali yoyote ajuae nitampataje swahiba wangu huyu.
nitashukuru sana-tulikuwa marafiki sana.
anitumie kwenye email :
mkobole@hotmail.com

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. 1984 mpaka leo hamjaonana? Jihesabu una bahati sana kuweza hata kuandika hii message. Majaliwa ukimpata. Maana kama rafiki yako miaka yote hii na jinsi mawasiliano yalivyo rahisi sasa na hamjawasiliana....!?! Kila la kheri ukimpata.

    ReplyDelete
  2. anon wa 1 acha kuchonga, u should thank tha guy hata kaweza kumkumbuka mwenziwe

    ReplyDelete
  3. Huyu jamaa unayemtafuta yuko dar,nimekutumia namba yake kwenye email yako.hope utaweza kumuona soon dnt worry!

    ReplyDelete
  4. Annoy wa 3.

    Safi sana ulivyofanya. Na mimi nitakuja kumtafuta rafiki yangu wa siku nyingi humu.

    Annoy wa 1; ACHA USHAMBA.

    ReplyDelete
  5. Huyo jama mbona tumemzika siku nyingi sana. Pole sana ndugu yangu.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...