bango
wadau wa tumaini
bichi ya saaadani na chini ngiri na binadamu
Hallo kaka michuzi na wadau wote wa blog ya jamii,

kwa niaba ya wanafunzi wenzangu wa Chuo kikuu cha Tumaini-Makumira, Katika kusherehekea sikukuu ya Idd na Uhuru wa Tanganyika tumetembelea hifadhi ya Taifa ya Saadani iliyopo Pwani. Huko tumejionea na kujifunza mambo mengi sana.
--
Meshack c.Maganga
Tumaini university
Makumira University college
Faculty of Humanities and social science
+255 713 486 636
ARUSHA
TANZANIA

www.meshackmaganga.t4.com
http://www.makumira.ac.tz
meshackmaganga@gmail.com

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Hongereni sana wadau wa Tumaini kampasi ya Arusha makumira kwa kasi yenu ya kutembelea mbuga mbalimbali ,na kumbuka mlitembela pia Ngorongoro,Arusaha Natinal park,na meserani park.haya wadau masomo mema na pia xmas njema

    ReplyDelete
  2. Sorry Michuzi,

    Mchemeko

    BREAKING NEWS!!!!!

    Imeonekana kwamba katika majaribio ya pili ya Malaria VACCINE, kwa watoto kuzuia vidudu vya malaria kwa asilia 65, kwa hiyo basi wataalamu hao hao wanasema tutegemee third clinical trial and final stages, ambapo baada ya hapo, MWAKANI, panapo Mungu akipenda wataseek regulatory approvals, all within next year. KWA HIYO MATEGEMEO MAKUBWA YAPO, KUWA READILY AVAILABLE WITHIN 5YEARS.

    Soon tutaweza kureduce the effects or eradicate the disease, kama Polio na smallpox. WHAT A BREAK THROUGH!.

    Zaidi soma reuters report hapa

    US news report soma hapa

    Wall Street Journal Report soma hapa

    All thanks to BIG MONEYS INJECTION, by Gates Foundation. Tanzania is doing fantastic job on war against AIDS, Malaria still remains a BIG threat!

    Fowarded.

    By Mchangiaji

    ReplyDelete
  3. Saadani hakuna wakiristu? naona kitimoto nje nje

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...