

Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Ndugu na marafiki wa Dullah poleni sana na mola awape faraja hata katika wakati huu wa Msiba.
ReplyDelete**************
BTW
Michuzi ukiangalia picha na habari kama hizi za ndugu zetu wakikusanyika ughaibuni kwa umoja wakinia mamoja kusaidiana na kufarijiana zinatia moyo sana kuliko matangazo na kukutana eti kuchagua viongozi wa mashina / matawi ya CCM- Uingereza.
Mkutano Mkuu wa CCM (T) kataeni upuuzi huu na mseme kuwa Ofisi za CCM zitafunguliwa nchini Tanzania tu! Ughaibuni watu wanatakiwa kuimba 'Umoja wa Watanzania wa .....' sio nyimbo zisizonadika za kutuletea utengamano!
Mwenyezi Mungu akusamehe akurehemu upumzike kwa amani.
ReplyDeleteTumetoka kwake na kwake tutarejea.
Wafiwa mungu awape nguvu.
poleni sana ndugu wafiwa na watanzania wote walioshikiki na kufanikisha kuleta mwili wa marehemu.ndugu mwenyekitiA.A.C. tufikishie malalamiko yetu kwa wafungaji watatumaliza.
ReplyDeleteMungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi AMIN.
ReplyDelete