ni katika kusherehekea miaka 47 ya uhuru wetu nami najidai na flip video yangu mpya ambayo mdau (jina kakataa nisimtaje) kanidondoseha majuzi. wadau wa taswira nawastua kwamba hii kitu ni bomba sana kwa wanaotaka taswira za video popote pale. zinapatina kwa wingi sehemu mbalimbali duniani, na kodak nao wametoa toleo lao la kodak Zi6 ambalo ni moto pia. zote zinafaa ka shughuli ndogondogo kama hepi besdei, pikniki na kadhalika. usipitwe mdau, kwa maelezo zaidi nenda http://www.theflip.com/products_flip_ultra.shtml
wadau kibao leo wamehudhuria sherehe za miaka 47 ya uhuru wa tanzania bara neshno


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. Michu tunajua hiyo camera inatoka kwa mshikaji wako Abuu Liongo!!

    ReplyDelete
  2. Miamvuli mingine isingeruhusiwa kwenye sherehe za kitaifa.

    ReplyDelete
  3. salaam balozi. yaani katika engo zote umeeona uchukue hii yenye mwavuli wa liverpool. ama uchokozi.

    ReplyDelete
  4. Ndo maana Michuzi unaonekana mweusi kuliko ulivyo. Unashinda sana juani

    ReplyDelete
  5. hiyo camera video ni dollar 80 walgreens . fake hazifanyi kazi baada ya miezi kadhaaa. michuzi unanichekesha wewewewe

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...