Rais Mstaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi akimchapa nondozzz ya Uzamili ya Afya (Master of public Health) mdau Kamaka Kassim wikiendi ilopita kwenye mahafali ya Chuo Kikuu cha Muhimbili University of Health and Allied sciences. Chini mdau Kamaka akiondoka na nondozzz yake huku akiangaliwa na JK na Mzee Ruksa ambaye ndiye mkuu wa hicho chuo


HONGERA SANA NDUGU. KILA LA KHERI KATIKA MAISHA YA TAALUMA NA KAZI.
ReplyDeleteKIBUSI
sasa kikwete alikua mgeni rasmi au?
ReplyDeleteor presidaa au km baba apo mbele?
hongera kijana kwa masters hio unalipa sana now ktk kazi za data
Ongera kaka ongera sanaa bado baba Abulsalam ongera from turkey
ReplyDeleteKAZI KWAKO KUTAFUTA KAZI
ReplyDelete