Home
Unlabelled
mh. ala nondozzz
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Sasa hii nondoz uzeeni utamsaidia nani?
ReplyDeleteWe anon wa kwanza uko serious kweli?
ReplyDeleteSi zitamsaidia yeye mwenyewe katika majukumu yake bungeni na kwenye maisha kwa ujumla.
Naona umesahau usemi wa "Elimu haina mwisho"
tanzania tuna watu wengi wenye mawazo finyu kama huyo mtowa comments wa mwanzo na ndio maana tanzania ni vigumu kuendelea. huyu na yule aloleta comments za udini ni kundi moja na wako wengi mno, hawa ndio wanaoturudisha nyuma.
ReplyDeleteCONGRATULATIONS Hon. Martha Mlata. University of Westminster is among the best-you remind me so far I graduated there in 2002 and now I am just enjoying the fruits of that precious education. It is an unregretable qualification which will be in your head for the rest of your life and nobody can take that away from you. In fact this is the difference we Tz'ns wanna see a bunge with knoleadgeable, well educated people-hope the rest will follow suit. Good Luck and happy to see you happy, looking more enlightened. By the way you also have nice legs SHOW THEM OFF! Mrs.S
ReplyDeletebunge halitaki wala nondo...linawataka wachapakazi...!!!'mikono inayofanya ni bora kuliko ulimu usio na mfupa'
ReplyDeleteAnony wa kwanza,Hata hapa unapoisoma blogu hii ya jamii unatumia muda wako kupata jipya hivyo unazidi kuelimika. Umechemsha bongo na ukauliza swali na sie hatuna hiyana kwani 'hakuna swali la kijinga' hiyo tutaendelea kuelimishana.
ReplyDeleteHivyo Anony wa kwanza endelea kujielimisha kwa njia tofauti si lazima uingie chuoni, bali endelea kusoma blogu hii ya jamii ujifunze mapya pia.
Nadhani utaanza mwaka mpya na dhana mpya kuhusu elimu haina mwisho www.youtube.com/nyerere speech3 na nyerere speech 4.
Mheshimiwa ana mguu jamani mwe!
ReplyDeletewadau hapo juu,msimlaumu sana huyo mpumbavu mdau hajui alijualo.ELIMU HAINA MWISHO na pia huyu dada hana uzee wowote bado yupo pina....tatizo bongo life span ni 47 years kwa hio anaonekana kama amepita umri BUT here majuu huyu dada ni KINDA na anahitajika sana kulijenga taifa letu la Queen.
ReplyDeleteCONGRATULATION MARTHA.....first of all age is just a number.
KEEP IT UP.
cha chandu
Hongera Mhe Martha Mlata...baridi uliyoivumilia imelipa.
ReplyDeleteWatu wa UK utawajua tu. Wana chuki sijui kwa nini. Afadhali hawajaiona hii Picha ya Mheshimiwa, ingekuwa balaa hapa, labda Michuzi amechuja hizo comments. Wanaosha sana vinywa watu wa UK, punguzeni jamani majungu na chuki si mtaji.
ReplyDeleteMichuzi ibanie hii comment maana ndio zako.
Yaani hata mimikaniudhi kichizi!! Halafu kwa bahati mbaya akwa mtu wa kwanza kutoa comment! Ndio uhuru wa maoni huo?!
ReplyDeleteMheshimiwa Mama Mlata Hongera sana kwa kugratuate. Sisi tulipata nafasi ya kukufahamu huku Ukerewe tumefurahi sana kuona umepata heti chako ambacho kwa kweli ulikifanyia kazi. na licha ya kuwa na majukumu ya kitabu vilevile ulikuwa karibu sana na watu na tunakumiss ila tunakuombea kila la kheri. Kama serikali yetu ingekuwa na kina mama wengi viongozi kama wewe mtu wa kupenda watu ama kweli tungefika mbali. Hongera Mheshimiwa. Na liendeleze Libeneke ....
ReplyDeleteSASA MBONA HABARI YENYEWE NI NZURI LAKINI NUSU NUSU! KALA NONDO YA NINI/FANI GANI NA DARAJA/NGAZI GANI. HUO MGUU MWEEEEE UNANIACHA HOI MIE!!!
ReplyDeleteMheshimiwa Martha Mlata hongera kwa nondozzz. Lakini huo mguu kweli umetuua wengi. Haya mama tunavitamani lakini ndio hivyo tena. Tutafanyaje. Fimbo ya mbali haiui nyoka.
ReplyDeleteMdau
Ingawa hajasema ni University gani lakini hii picha mbona inaonyesha kama ni University of East London.
ReplyDeleteHongera Mrs Mlata kwa kuongeza elimu. I hope kwa kuongeza ujuzi wako itasaidia kuleta mabadiliko hapa nchini.
ReplyDeletePlus you have got nice legs. Nilipata nafasi ya kumuona pindi nilipoenda bungeni mwezi wa sita for official issues(2008). Duh mama umejaaliwa miguu.
Hongera sana kwa elimu. Be blessed.
Mama nimekukubali unalipa sana,mwenzio,...acha tu.Malaika.................,mali sina.........,.
ReplyDelete