Hi Bro.Michuzi,
NAOMBA MSAADA TUTANI.
Kwanza kabisa napenda kutoa salamu zangu za maandalizi ya x-mas na mwaka mpya, kwa wadau wote wa blog hii ya jamii.
Pili nina pikipiki yangu huko Dar-Tz napenda kuiuza, maana imekaa tuu mda mrefu bila kuitumia, kwasababu mda mrefu mimi nipo huku, pia wanandungu zangu wanaiogopa kuitumia maana ni kubwa wanavyosema.
Ni CC 600 SUZUKI. Ipo Dar es salaam na ina hali nzuri.
Mtu anayeishughulikia mawasiliano yake ni: 0754-838369.
Mimi huku unaweza kunipata kwa simu: +39/380-3115382.
Asante sana kwa msaada wako mkuu wa Wilaya ya Nanihii na Balozi wa Zain.
Salamu sana kwa wadau wote!
B.F.CHIBIRITI.
CHIBILITI UTAKUWA UMEFIRISIKA TU WEWE HIYO TRICK MBONA NIYA ZAMANI SANA BADO INAITUMIA? KWA NINI HUKWENDANAYO ITALY UNATAKA KUMBAMBIKIZIA MTU KANYA BOYA? UZIRI WA MKAKASI NDANI KIPANDE CHA MTI LOH!SUBIRI UKIRUDI UFANYE MIPANGO YA KWENDA NAYO ITALY, USIACHE CHEMBACHAO KWA MSAALA UPITAO, UNAWEZA KUITUMIA UKIRUDI NA MY WIFE WAKO. AMA WEWE NDIYO WALE ETI MIMI NYUMBANI NINA BAROONI KUMBE PIKIPIKI. HATUTAKI PIKIPIKI BWANA SEMA TUKUTUMIE HUKO ITALY UENDESHE KWANZA NASIKIA HUNA GARI HUKO UNADANDIA TRENI KILA KUKICHA
ReplyDeletebei ujatoa mambo yako mkato au ndio kanya boya
ReplyDeleteusa
toa bei!
ReplyDeleteYaonekana hao hawako Bongo dsm. Pikipiki cc600 ni kubwa mno Bongo?
ReplyDeletebad timing chibi yaani mtu kafa kwa piki. we ndo unaweka tangazo la biashara?achieni wachaga biashara
ReplyDeleteSasa mbona hata hiyo namba ya mtu uliyemkabidhi auize HAIPATIKANI na kama vipi sema ipo wapi na weka bei yako na ni ya mwaka gani?? imelipiwa ushuru na kusajiliwa hapa TZ
ReplyDeletewe chib ulifia wapo mzee wa vituko leo unatujia na kali ya kibajaji cha. kwani ulikujanacho au umekinunua bongo? hii mpya
ReplyDeleteMashine imetulia. Suzuki pikipiki nzuri sana. Japokuwa cc 500 ni pikipiki kubwa mno na inakimbia sana. Labda usiindeshe DSM otherwise daladala zinakugonga mara moja. Vinginevyo, kule machimboni Merelani, Arusha hiyo itanunuliwa mara moja na kwa bei inayolipa. Mwambie huyo jamaa ulimwachia hiyo mali aipeleke Arusha.
ReplyDeleteMdau
KWANINI USIIPELEKE KWENYE KILE KITUO CHA WATOTO YATIMA,AMBACHO NA WEWE ULISEMEKANA UPO HUMO.NAFIKIRI INGESAIDIA SANA KULIKO KUIUZA NA UNGEPATA THAWABU NYINGI TU!AHSANTENI
ReplyDelete